je wewe ni mmojawapo wa hawa vijana waliofanya mtihani wa form 4?i can guess ur results!!moja:
Ndugu edward lowasa alienda nchini marekani last week akifuatana na mke wake. Hii ni moja ya hatua za kiufundi za kujiandaa na kinyanganyiro cha urais. Anaanza kutembea na mke wake in order to look presidential. Pamoja na hayo bwana huyu atakuwa anaanza procedure za kumfundisha kazi za kisiasa na kiutawala mke wake - inawezekana hili linafanyika ili kumuandaa mke wake kugombea ubunge wa monduli wakati yeye atakapo gombea urais kama mgombea binafsi. Kuna uwezekano mkubwa sana ccm ilipitisha muswada wa kuruhusu wagombea binafsi ili kumruhusu mtu mmoja tu (edward lowasa) kugombea urais. Ama kwahakika huyu bwana ndio anatawala tanzania.
mbili: Pia, ijapokuwa mama asha migiro anasema kuwa anarudi chuo kikuu kufundisha. Mimi natabiri kuwa moja kati ya haya mawili yatatokea.either, mr mukandara atapewa kazi ya ubalozi na mama migiro kufanywa mkuu wachuo kikuu cha dar es salamu (muendelezo wa teuzi zisizoelewaka za kikwete. Teuzi zenye lengo la kuleta usawa fulani anaoutaka kikwete siutaji huo usawa ila kila atakaesoma hapa ataelewa naongelea nini). Kama si hivyo basi mama huyu atapewa ubunge na uwaziri fulani nyeti utakao msogeza karibu na kiti cha urais na kumsogeza mtu fulani mbali na urais. Atakaesogezwa mbali atakuwa anatishia malengo fulani ya kikwete ya kumuachia mtu fulani urais kwa malengo ya kuleta usawa fulani anaoutaka kikwete siutaji huo usawa ila kila atakaesoma hapa ataelewa naongelea nini).
tatu: Kuna mawaziri na viongozi kadhaa wanaotamani urais amabao watafanya mipango ili wapewe udaktari wa heshima (phd) kabla ya mwaka2015 ili kujiongezea cv na sifa za kugombea urais. Hawa ni wale mawaziri na viongozi wanaopenda kupanda chati na ngazi kiujanja ujanja kama ndugu nyalandu nk.
nne: Kwa jinsi binadamu walivyo na tama na wasivyorizika,ndugu gharib bilali atachukua fomu za kugombea urais wa muungano na most likely atamuomba migiro au tibaijuka wawe wagombea wenza wake. Eti nchimbi na january naopia wanaufikiria urais- binadamu bwana!
huu ni utabiri tu: Nawakilisha
update - february 18, 2013
hatimae utabiri umetimia. Asha migiro amepewa uenyekiti wa bodi ya chuo kikuu huria na uenyekiti wa organization ya ccm (anasogezwa ikulu) na mwanaidi maajar amepewa uenyekiti wa bodi ya chuo cha diplomasia kama mwanzo wa muendelezo wa kupewa na kupendelewa kwingi kwa wamama hawa wa dini ya ........
Moja:
Ndugu Edward Lowasa alienda nchini Marekani last week akifuatana na mke
wake. Hii ni moja ya hatua za kiufundi za kujiandaa na kinyanganyiro
cha Urais. Anaanza kutembea na mke wake in order to look presidential.
Pamoja na hayo bwana huyu atakuwa anaanza procedure za kumfundisha kazi
za kisiasa na kiutawala mke wake - inawezekana hili linafanyika ili
kumuandaa mke wake kugombea ubunge wa Monduli wakati yeye atakapo gombea
urais kama mgombea binafsi. Kuna uwezekano mkubwa sana CCM ilipitisha
muswada wa kuruhusu wagombea binafsi ili kumruhusu mtu mmoja tu (Edward
Lowasa) kugombea Urais. Ama kwahakika huyu bwana ndio anatawala
Tanzania.
Mbili: Pia, ijapokuwa mama Asha
Migiro anasema kuwa anarudi chuo kikuu kufundisha. Mimi natabiri kuwa
moja kati ya haya mawili yatatokea.Either, Mr Mukandara atapewa kazi ya
ubalozi na mama Migiro kufanywa mkuu wachuo kikuu cha Dar es salamu
(muendelezo wa teuzi zisizoelewaka za kikwete. Teuzi zenye lengo la
kuleta usawa fulani anaoutaka Kikwete siutaji huo usawa ila kila
atakaesoma hapa ataelewa naongelea nini). Kama si hivyo basi mama huyu
atapewa ubunge na uwaziri fulani nyeti utakao msogeza karibu na kiti cha
urais na kumsogeza mtu fulani mbali na urais. Atakaesogezwa mbali
atakuwa anatishia malengo fulani ya Kikwete ya kumuachia mtu fulani
urais kwa malengo ya kuleta usawa fulani anaoutaka Kikwete siutaji huo
usawa ila kila atakaesoma hapa ataelewa naongelea
nini).
Tatu: Kuna mawaziri na viongozi
kadhaa wanaotamani urais amabao watafanya mipango ili wapewe udaktari wa
heshima (phd) kabla ya mwaka2015 ili kujiongezea CV na sifa za kugombea
urais. Hawa ni wale mawaziri na viongozi wanaopenda kupanda chati na
ngazi kiujanja ujanja kama Ndugu Nyalandu nk.
Nne: Kwa jinsi binadamu walivyo na
tama na wasivyorizika,ndugu Gharib Bilali atachukua fomu za kugombea
urais wa muungano na most likely atamuomba Migiro au Tibaijuka wawe
wagombea wenza wake. Eti Nchimbi Na January naopia wanaufikiria Urais-
binadamu bwana!
Huu ni utabiri tu: Nawakilisha
UPDATE - FEBRUARY 18, 2013
Hatimae utabiri umetimia. Asha Migiro Amepewa uenyekiti
wa bodi ya chuo kikuu huria na uenyekiti wa organization ya CCM
(anasogezwa ikulu) na Mwanaidi Maajar amepewa uenyekiti wa bodi ya chuo
cha diplomasia kama mwanzo wa muendelezo wa kupewa na
kupendelewa kwingi kwa wamama hawa wa dini ya
........
July 11, 2012 nilitabiri kuwa ijapokuwa mama Asha Migiro anasema kuwa anarudi chuo kikuu kufundisha. Mimi natabiri kuwa moja kati ya haya mawili yatatokea.Either, Mr Mukandara atapewa kazi ya ubalozi na mama Migiro kufanywa mkuu wachuo kikuu cha Dar es salamu (muendelezo wa teuzi zisizoelewaka za kikwete. Teuzi zenye lengo la kuleta usawa fulani anaoutaka Kikwete – siutaji huo usawa ila kila atakaesoma hapa ataelewa naongelea nini). Kama si hivyo basi mama huyu atapewa ubunge na uwaziri fulani nyeti utakao msogeza karibu na kiti cha urais na kumsogeza mtu fulani mbali na urais. Atakaesogezwa mbali atakuwa anatishia malengo fulani ya Kikwete ya kumuachia mtu fulani urais kwa malengo ya kuleta usawa fulani anaoutaka Kikwete – siutaji huo usawa ila kila atakaesoma hapa ataelewa naongelea nini).
Wote tumeona kuwa mama huyu ameingizwa kwenye Kamati Kuu ya CCM ili kusogezwa karibu na urais- UTABIRI UMETIMIA
Na sasa jambo hilohilo litaenda kufanywa kwa mama Mwanaidi Maajar. Anarudishwa nyumbani ili asogezwe na kiti cha urais kwakuwa anatoka kwenye kundi fulani la watanzania ambalo ndugu Kikwete amekuwa analipendelea sana - muendelezo wa teuzi zisizoelewaka za kikwete. Teuzi zenye lengo la kuleta usawa fulani anaoutaka Kikwete.
Wenye akili watanielewa, wasio nazo watanibeza!
always huwa nasema 2015 lowasa atakua rais hanijui bt namkubali.. Wengne ndan ya ccm ni wasndkizaji cdm kutoa rais hawawezi zaidi wataongeza au kupunguza wabunge tym will tellhata nikiwa na rafiki zangu hua nawaambia lowassa sio wa kumbeza anawez akachukua nchi watu oo fissdi hapew nchi mi naungana na utabiri wako endapo upinzani ukishinda poa kinyume hapo lawaasa nae anachukua nchi
Tutasikia kamati za bunge zinarekebishwa. Naona Membe atakuwa tumbo joto! Cheza na mkulu weweUtabiri umetimia
Mambo rahisi ya Rais Kikwete ni rahisi sana kumtabiri hata kujua atafikiria nini kesho