du!..kweli you're the finest..kip it ap
so far....
HAKUNA HATA MMOJA ALIYENIAHIDI VIJIZAWADI KWA AJILI YA mtoto
:A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1:
Haaaa Babu ku-maintain ID mbili na yenyewe ishu labda ningekuwa naudhuria jukwaa lile jingine la mustakabali wa taifa letu ningekuwa nazo mbili maana kule uchelewi kutoa matusi ukapewa BAN
nahisi kaka anakeshea humu...Huyu mjukuu amenitisha sana, hebu ona hapa chini
With over 5.5K posts in 5 months..sijawahi kuona! On average jamaa anarusha zaidi ya posts 30 kwa siku.
Bravo mjukuu!
Babu DC.
nahisi kaka anakeshea humu...
bj shida ideroo
hongera sana my dia,kazi ngum lkn umepambana duh uko juu!:a s crown-1::a s crown-1::a s crown-1::a s-alert1:
si unani zawadia leo?????
kaka kwa heshima na taadhima, nasimama hapa jukwaani, kwa niaba ya wenzangu!ukiwa kama mwanachama hai wa kile chama chetu cha Infi.....!kutokana na sifa alizozieleza hapo Dark City, tungependa tukuzawadie zawadi!!!!sijui ungependa leo tukuandalie chumba kwenye Guest gani?je, ungependa uungane na binti gani kutoka hapa Jukwaani ili kukamilisha furaha yako?najua valuu zitakuwepo bila shaka!
Nawasilisha mpwa!!!!!!!!!
usijali watakani?peremende?
Wakuu nipo kwa Mjapan hapa nawapata nafuatilia gemu kwa karibu sana Zenji wamesha bonyezwa 1
Hongera sana Tolu kisauti unagonga nyundo balaa hata NN haoni ndani
hongera mtumishi
hapana, ninapotaka mimi ni hapo tu