The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Fidel ndio ananiandalia mnusoMnuso utakuwa wapi?
Fidel ndio ananiandalia mnusoMnuso utakuwa wapi?
You are guest namba 2Asante sana. I will be there....
Afadhali home boy uniletee huyu Keren bana!! Nina maneno nataka kusema naeYou are guest namba 2
Huyu babu tayari na asipo chukua jiko mwaka huu basi tena kupata mrembo itakuwa kazi labda atumie fwedha kushawishi
Lakini mwenyewe kadai ni conflict of interest with u...nadhani anamaanisha mlikuwa na "Bifu"....bwabwabwabaaaaa
Hahahaha hakuna bifu Sizinga ningekuwa na bifu nae ningemkaribisha Tip Top? na nimesha mwandalia na kiburudisho cha kumpa massage leo.
Duh mkitoka TIP TOP,hembu pitieni pale Mabibo mwisho,bar mpya baadae tumalizie mipango yooooooe pale opposite 2nd gate LOYOLA kwa mama naniliii...!!coz nishatoa oda ya roast mbuzi katoliki kilo 3.
Afadhali home boy uniletee huyu Keren bana!! Nina maneno nataka kusema nae
Ebwanee napanyaka sana pale.
Alafu kwa nini ile Bar mpya yenye gorofa karibu na stand pale imefungwa?
Au yule aliye fungua kwa pembeni kamzidi kete kamati za ufundi?
Basi mida mibaya pitieni hapo...mtanikuta nimejaa teleee!! nadhani umejijibu mwenyewe, ni ufundi tu wa kibiashara!!
Hahaha hommie maslahi naona maslahi usipende kujilimbikizia mali kama RostamAfadhali home boy uniletee huyu Keren bana!! Nina maneno nataka kusema nae
Halafu wewe Keren...ngoja tu nikae kimya, Mbona wanaifanyia hivyo ndo nini kukaa kimya hata hutaki kujua hali yangu? Hebu njoo chumbani nikunong'oneze leo uvae nini kwenye birthday ya TF, Najua kuna ka vazi fulani ukikavaa mie hua hoi.!!:bange:Kimey... hope wewe u mzima!
Zanta nashukuru hebu ibuka Club Continental mambo ya Khanga Moja lol!!!Happy Birthday Mkuu, sasa Mambo yetu yalee wapi leo?
:bange:
Hahaha home boy sikuwezi siku hizi spidi yako kama ya vogueHalafu wewe Keren...ngoja tu nikae kimya, Mbona wanaifanyia hivyo ndo nini kukaa kimya hata hutaki kujua hali yangu? Hebu njoo chumbani nikunong'oneze leo uvae nini kwenye birthday ya TF, Najua kuna ka vazi fulani ukikavaa mie hua hoi.!!:bange:
The Finest Canter anaendesha nani PJ? Kama ni yeye basi nina uhakika Dompo litafika salama Anaendesha bro Kaizer akisindikizwa na Fidel80 said:Ewaaa hao nawaaminia ila huyo Fidel huyo