The Final Showdown EL Vs JK: The Death Of Boyz2Men

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
This is interesting and it adds to Mchungaji curiosity of the real relatioship between Lowassa and Kikwete.

In the past 6 months, the two have had their differences on issues being subject of my scrutiny.

First it was Arusha MP elections, then Arusha Municipality saga, then Education fund and most suprising the Dowans saga.

Now Lowassa is stating that Wananchi should be at fore front of uwekezaji.

Lowassa anahimiza wawekezaji wa ndani na wazalishaji wasimame mstari wa mbele na kuwapa motivation kuwa wana uwezo kama hao wa nje.

Kikwete anasisitiza wawekezaji kutoka nje ya nchi waje na kuwa ndio njia pekee ya kuinua uchumi wa Tanzania.

Swali, ni nani mzalendo au ni nani kweli kati yao pamoja na madhambi yao anaonekana kujali Watanzania?

Lowassa awafunda wajasiriamali

Imeandikwa na John Mhala, Monduli; Tarehe: 13th May 2011 Habari Leo


WAJASIRIAMALI mkoani Arusha wametakiwa kutogeuka soko la watu wengine hivyo wabuni bidhaa wanazoweza kuziuza ndani ya Afrika ya Mashariki na hata masoko makubwa ya nchi za Kusini mwa Afrika kama SADC,SACU na COMESA.

Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa ametoa changamoto hiyo leo katika semina ya siku mbili inayofanyika mjini Monduli ambayo iliandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Lowassa amesema, Tanzania hususani mkoani Arusha kuna ardhi nzuri inayostawisha mazao yote na kutoa mfano kuwa kilimo cha mbogamboga kuwa ni biashara ambayo inaweza kuwafanya wakazi wa Arusha kutisha kwenye soko la Afrika Mashariki.

Amewataka wajasiriamali mkaoni Arusha kutumia semina hiyo ya TIC kujinufaisha kibiashara na kuacha kuwasindikiza wawekezaji kutoka nje ya nchi kuja nchini kuwekeza shughuli zote wakati shughuli zingine zinaweza kufanywa na wajasiliamali na hapa mkoani Arusha.

Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha amesema na kusisitiza kuwa, biashara ya mboga mboga na mifugo ina soko nje ya masoko haya ya Afrika pia soko la AGOA la nchi za Marekani, Ulaya, Arabuni na Asia.

Amesema, wajasiriamali wengi mkoani Arusha na hata mikoa mingine hawana ufahamu na nguvu kubwa ya kiuwekezaji na wachache sana wanaifahamu TIC na vivutio wanaopewa wawekezaji na kama wapo ni wachache sana hivyo kupitia mafunzo haya baadhi yao watakwenda TIC ili muweze kusajili biashara na uwekezaji.

"Tumieni semina hii ya TIC kujiendeleza na musiache watu kutoka nje ya nchi kuja kuwekeza nchi biashara ambazo hata nyie munaweza kuzifanya hiyo ni aibu’’amesema

Mratibu Mkuu wa semina hiyo, Mbunge wa viti maalumu mkoani Arusha, Namelok Sokoine amewataka akina mama wa mkoa wa Arusha watumie fursa ya semina hiyo kujikwamua kiuchumi ili waweze kujiongezea kipato.

Sokoine amewataka akina mama waliokuja hapo kuwa mabalozi wazuri kwa wale wasiofanikiwa kuja katika semina hiyo kuwaelimisha na kuwa chachu mpya ya kuleta maendeleo katika maeneo yao.

Mkurugenzi Uhamasishaji na uwekezaji wa TIC,Raymond Mbilinyi, alisema mkoa wa Arusha unashika nafasi ya pili ya uwekezaji ukiachia mkoa wa Dar es salaam hivyo jitihada za ziada zinahitajika kutaka wajasiliamali kujitokeza kuwekeza katika biashara mbalimbali zilizopo mkoani hapa.
 
Pamoja na mapungufu ya Lowassa, yule jamaa ni mtendaji na si mtu wa blabla!!
he know what and when to do it!!
 
It simply gives us a distinction between the two.

Lowassa appears to have confidence with locals and he is basically telling Wananchi taht he has faith in them, he believes and trust they can be competitive and produce world class products and uplift themselves from poverty and bottom line he is saying we do not need to depend on Foreign Investments or Investors to succeed.

Whereas Kikwete has simply declared (directly and indirectly) that without Foreign Investments or Investors, there will be no development in Tanzania and we will never be able to overcome poverty!
 
It simply gives us a distinction between the two.

Lowassa appears to have confidence with locals and he is basically telling Wananchi taht he has faith in them, he believes and trust they can be competitive and produce world class products and uplift themselves from poverty and bottom line he is saying we do not need to depend on Foreign Investments or Investors to succeed.

Whereas Kikwete has simply declared (directly and indirectly) that without Foreign Investments or Investors, there will be no development in Tanzania and we will never be able to overcome poverty!

I beg to differ with you. These kinds of investments ought to co-exist and complement each other. There is not a single country in the world that does not encourage Foreign Direct Investment (FDI) as one of the engines of growth. While local investors can be producers of raw materials for foreign investors, they at the same time serve as markets for products produced by foreign investors. Now, if Lowassa has decided to put his emphasis on local investment, he should understand that foreigners too have a role to play especially when it comes to large investments which would require huge capital or advanced technology that cannot be sourced from within. And if you caught Lowassa well, he was making reference to the reftility of land in Arusha which means that he intended that the locals should invest in agriculture. Where is the contradiciton then? There are differences of opinion which are healthy and positive.
 
Mnajitahidi Kumsafisha EL lakini mnasahau kuwa kiwango cha uchafu alichonacho kinafanya mpaka msafishaji abakiwe na uvundo hata kemikali haifui dafu, sembuse sabuni zenu za maandiko? Endeleeni kumsafisha na pole kwa kazi nzito.
 
All I can say is that in politics there is no permanent friendship. Remember the phrase "Et tu Brutus?'
 
Lowassa is just playing his card just trying to win back confidence from the people
 
Lowassa is stressing the Wananchi to invest on simple and non mechanised type of production of MBOGAMBOGA, while his old friend JK is mainly concerned on massive capital invesment areas!

Of course he is right in that way, cause the Chinese-Jasiriamalis' can take-over these petty productions if we continue napping on day-times!
 
Wote ni vipogu,

Hakuna anayeweza kuujua ukubwa wa tempo. Wanajitahidi kuelezea hisia zao tu...Sina hakika kama wanajua na kuyaelewa vizuri wanayoyaongea. Mbaya zaidi sijui hata imani zao!!
 
tufanye ingetokea vuup baada ya maskandali yote na uwezo wa kiuongozi wa hawa Waheshimiwa kujulikana wazi,sasa umepewa 2 candidates kwa nafasi ya urais-Lowasa na Kikwete;ungemchagua nani walau unadhani angeisogeza Tanzania mahali pazuri kimaendeleo?
 
Lowassa anajaribu kuwaweka kina Nape na JK kwenye checkmate.. yeye anazungumzia masuala ya sera na wao wameng'ang'ania kupambana na Chadema na mipasho ya kisiasa. Lakini vile vile anaonekana kujaribu kupendekeza solutions ya matatizo kwa namna ambayo ni tofauti na inavyopendekezwa na CCM ya sasa. Kimsingi anasema hajali kelele za "mafisadi wa CCM" he has work "to do".
 
Ni nani hao anaosema 'wawekezaji wa ndani'. Is it possible yeye ndiye mwekezaji wa ndani?

Kitu kingene nimeona siku za hivi karibuni ni hii 'pact' kati ya Lowassa na Namaleck Sokoine (spelling sina uhakika). Huyu ni mtoto wa Marehemu Edward Sokoine na sasa ni mbunge wa viti maalum- ccm. Na hata kwenye huu mkutano wa uwekezaji alikuwa mmoja wa watoa mada.

Kama mtakumbuka mwaka huu kumekuwa na kipindi maalum kwenye TBC1 cha Sokoine around tarehe alizopata ajali na kufa. Na Lowasa alikuwa mmojawapo wa waongeaji kwenye Kipindi hicho. Then kukawa na misa maalum huko Dodoma wabunge walialikwa.

Binafsi sina tatizo na jitihada hizi za kumuenzi Marehemu Sokoine ila nahisi kama kuna something else. Why now after all those years? Wakati Lowassa akiwa Waziri mkuu hatukuona hili lakini sasa ghafla tunaona kumbukumbu! Pamoja na annual memerial day kwa kawaida huwa tunaona watu wengi wanafanya shughuli kubwa za kumbukumbu every 5yrs e.g 5, 10, 15 n.k ya Lakini hii Sokoine ilikuwa 27yrs! Ilipotimia 25yrs Lowassa alikuwa wapi? I hope hizi ni hisia tu and nothing else.
 
It appears one has to take acting lessons to become a politician in bongo!
 
mfa maji haishi kutapatapa. lowasa anajaribu kusema kitu ambacho kitamtofautisha yeye na peoples in his party lakini ki ukweli kabisa they are all the same. mara elimu kwanza mara sijui ajichangane na vijana
lowasa kisiasa ameshamalizika hata akifanyaje
 
Its hard for any Tanzania to distingush these mafisadi. Watanzania wengi tunaona hakuna tofauti na kwa undani zaidi, Kikwete ameonekana mzembe kupindukia na hakuna chochote anaweza accomplish na Lowassa is so corrupt. Why discuss these people of the past? Tuangalie mbele na kuna choice nyingine Chadema na wanaweza ku-change hili Taifa letu. Tuweke focus kubwa kupata "Katiba" mpya na hili litaweza kutufungulia milango ya kuona na kupata good leadership....
 
No one disputes in current world, you can not build your country using wazawa alone. However our country mechanisms are so porous that we are not benefiting with FDI at all. There is both brain and raw materials drain while the wazawa are left behind with nothing!

If we are to cherish and demand FDI, then we have to go the China, Brazil, India and Singapore, not the Tanzanian way!

That is why of the two, looking at the broader picture, it may appear Lowassa has more fire to spark to the local resurgency of economic production, while Kikwete has already written off locals and is simply focusing on FDI and Foreigners.

Lets look at Kilimo and Kilimo Kwanza project. Kikwete's main objective is to allow the big foreign farmers to come and produce food to be exported out to their own countries. he is creating a conducive environement wheres South Koreans will appear as if they are injecting income to our country by utilizing arable land to grow food.

However, bear the fact that Tanzania has almost 60% of its citizens living in rural areas and conducting peasantry subsistance agro economy, one would have hope this new Agro Revolution will focus to push Mulima from Kilimo cha Kufa na Kupona and improve the Kilimo cha Kisasa so that this peasant could move forward in his own development and his daily earnings copuld raise from $1 to $10! Lowassa is advocating empowerment of these peasants.

Now do not get me wrong that I am advocating for Lowassa or absolve him of his sins, not at any single minute. But I can see rational on his argument and it goes back to Azimio la Arusha on Kujitegemea.

Kikwete is telling us through actions of his management and extreme dependency on Foreign Aid (be it FDI, budget support or simply now dependency on loans from commercial banks) or his public statements declaring openly he has no clue what is the source of our poverty, that he does not believe for a minute that Tanzania can get to the point of Kujitegemea!

He is failing to motivate Wananchi from Vijijini to Mijini, Mashambani to Makazini, he can not energize local production or assure Watanzania that under his leadership, he will be able to bring us 15 steps close to achievement of MKUKUTA, MKURUBITA or Maisha Bora kwa kila Mtanzania and so riding the chorus of Ugumu wa Maisha!

His governement is spending more than the earnings, and it is allowing the FDI to yield everything un-accountable!

Go into our mining industry, there are no checks and balances to ensure that we are trully earning what the investor is producing. Extend the reach to forestry, tourism, agriculture, fishery and now with prospects of producing oil and gas, one has to wonder if there is anything left for Watanzania.

Rather than focusing his efforts in ensuring that he leaves an everlasting legacy of productive country that can one day be self sufficient, Kikwete's presidency will be rememberd as the era of economic plundering through Ufisadi, Matumizi mabaya and kukosa mapato.

Just last week, WB/IMF and EU have declared we need to increase our revenues from our minig contracts and so is empowering mkulima with land rights to afford them with capital to expand their economic activities.

If Kikwete is ready through TIC or EPZ to extend tax and duty shelter, why not re-write land laws so that Wananchi can have ceritficates to use as collateral for capital?

So Lowassa is telling the wakulima that if they are organized and well educated, they can beat the foreign competitors. which means that his focus would be in investing heavily with local force and not the foreigners who alrady have adequate capital and do not need special preference!

Now if you are looking at this from prism of kugombea madaraka and kujivua magamba, you will not see anything of substance from Lowassa, you will only see mtu mwenye tamaa ya madaraka (it is true but lets be objective on the argument of empowering wakulima)!
 
I beg to differ with you. These kinds of investments ought to co-exist and complement each other. There is not a single country in the world that does not encourage Foreign Direct Investment (FDI) as one of the engines of growth. While local investors can be producers of raw materials for foreign investors, they at the same time serve as markets for products produced by foreign investors. Now, if Lowassa has decided to put his emphasis on local investment, he should understand that foreigners too have a role to play especially when it comes to large investments which would require huge capital or advanced technology that cannot be sourced from within. And if you caught Lowassa well, he was making reference to the reftility of land in Arusha which means that he intended that the locals should invest in agriculture. Where is the contradiciton then? There are differences of opinion which are healthy and positive.

The distinction I see is that Lowassa is urging for us to invest internally and not to foreigners! Foreign investors are reaping extremely well due to tax and duty shelters, lack of checks and balances to ensure what is being produce is being accounted.

Serikali is burdening Watanzania to shoulder the Foreign Investors through creating conducive environment to Mwekezaji, but fails miserably to create the same to Mzawa and that is what I see Lowassa is basing his argument or opinion.

So if it is political game of placing yourself in better shape, as one has indicated, this statement and premises in which it was issued, place Lowassa in same line with the philosophies of Sokoine and Nyerere and leaves Kikwete and his followers as maadui, kupe na mabwanyenye wenye kutukuza ukoloni mamboleo kinyume na msimamo wa Azimio la Arusha la kujenga jamii ya kijamaa na yenye kujitegemea!
 
Back
Top Bottom