KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #41
Nakwambia USA and NATO alliances wakimwaga mboga Iran, N.Korea, Venezuela wanamwaga ugali.
Venezuela sidhani,ila IRAN,NORTH KOREA,PAKISTAN hawatazigusa hata siku moja,wataishia kulialia tu!nadhani uanaelewa kwanini hawazigusi nchi hizo nilizozitaja licha ya "uchokozi" wa nchi hizo kwa marekani mara kwa mara.