leh
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 827
- 363
Kujuwa kuitumia na kujuwa kuitumia kwa kuzalisha ndio tofauti usiyoielewa bado. Kuna kitu kinaitwa "technology economics" kama una teknoloji ambayo haijilipi kifaida hakuna mwekezaji awe wa ndani au awe wa nje ataewekeza.
Mkonga tunao, nani ataewekeza kuunganisha na unapotumika ili ulete faida? anza wewe unangoja nini? kama huwezi kuanza niambie kwa nini? utakuta jibu ni economy hairuhusu. Kama una jibu lingine nifahamishe.
capital, investors, government bureaucracy, fair competition policy, inflation..