The Fastest Internet Connection in the World

Kujuwa kuitumia na kujuwa kuitumia kwa kuzalisha ndio tofauti usiyoielewa bado. Kuna kitu kinaitwa "technology economics" kama una teknoloji ambayo haijilipi kifaida hakuna mwekezaji awe wa ndani au awe wa nje ataewekeza.

Mkonga tunao, nani ataewekeza kuunganisha na unapotumika ili ulete faida? anza wewe unangoja nini? kama huwezi kuanza niambie kwa nini? utakuta jibu ni economy hairuhusu. Kama una jibu lingine nifahamishe.

capital, investors, government bureaucracy, fair competition policy, inflation..
 
Zote hizo cha-mtoto yenyewe hii hapa:

Qatar's Qtel trials 100mpbs Internet speeds for consumers

From 18 May 2011, Qtel is enabling customers within the company's trial fibre footprint to receive home Internet broadband at speeds of up to 100 Mbps. As Qtel's next generation fibre network continues to extend, the company will be well positioned to offer this service to customers throughout Doha and other urban areas.

Source: Qatar's Qtel trials 100mpbs Internet speeds for consumers | t-break: Tech @ Its Fastest

100Mbps ni kinadharia tu, hata kibongo-bongo TTCL broadband LAN weka mouse hapo kushoto inasema 100Mbps , but practically hata kufika 3Mbps ni taaabu.

Hata hiyo ya Qatar wanachomaanisha ni LAN yenye speed 100Mbps kinadharia, ki-practically inategemea na connections zao, na kamwe haiwezi fika exactly 100Mps itacheza-cheza tu below 10Mbps.
 
Scientists has discovered fastest Wi-Fi which can transmit up to 2.5TBps (yes it's Tela Bytes) but for now it under development and it can only transmit at 1 meter range, Je Ni lini wata maliza hii kitu ili niache kununua hivi vi bluray disk.

nafikiri wanasema kinadharia inaweza fika hivyo, but practically willl never be speed exactly to that.
 
Mkuu sasa nakubaki ZOMBA ni Janga.. Analet habari za UJIMA leo,wakati zama hizi ni tofauti na zileee Mkuu.. Kwa miaka ilee sisi wa mikoani kulipata gazeti kwa wakati ilikua issue..Lakini kwa sasa Watu wako juu ki uelewa sana tofauti na miaka ilee..
hapana mkuu mi nakukatalia kwa hili..si kweli kuwa watumiaji hawajui matumizi ya hii technolojia..Tanzania ya sasa tofauti sana na tanzania ya miaka michache nyuma juu ya matumizi ya technolojia..saiz watumiaji wa hii tcholojia ni wengi mno..na bado wapo wengi sana wanaihitaji lakini wanaipata kwa taabu saana..na hata hao tunaoipata si kweli kuwa tuko happy..mfano mrahisi we angalia tu humu jamvini watu wanayolalamika juu ya hizi internet zetu za kibongo..matatizo matupu..basi tu tunavumilia! we unadhani aiktokea mtu mwenye akili akaamua kuwekeza kwenye hili na kutoa intenet safi nani atabaki kwenye hii mitandao ya kijinga?? na si kweli kuwa wanashindwa kutoa huduma bora tatizo ni uchakachuaji tu..kila mtu anaangalia tumbo lake..bajeti ikitolewa inaishia juu kwa juu..mtu akishashiba hajali tena technolojia yenu hii..itamsaidia nini yeye wakati kila kitu anacho na anamaisha mazuri..thats the problem!! kama ni watumiaji wapo wengi tu hata kama gharama zikiwa juu ni bora lakini tupate kitu cha uhakika..si kuzinguana kama hivi..watu wanajisifu na 3G wakati spidi yake hata 0.5G hamna!!!
 
nafikiri wanasema kinadharia inaweza fika hivyo, but practically willl never be speed exactly to that.

What is it about South Korea that makes them so high?
Belson: The high population density across major South Korean cities makes it easy to reach large numbers of users with extremely high-speed connectivity. (For instance, almost half of South Korea's population lives in the Seoul National Capital Area, and nearly a quarter in Seoul itself.) Additionally, the South Korean government invests in extremely high-speed connectivity, such as the Korea Information Infrastructure (KII) Plan aimed at connecting of 84% of South Korean households to broadband services with speeds of up to 1 Mbps by 2005, and the 2010 announcement of a plan to boost residential connections to 1 Gbps by 2012.
 
Kujuwa kuitumia na kujuwa kuitumia kwa kuzalisha ndio tofauti usiyoielewa bado. Kuna kitu kinaitwa "technology economics" kama una teknoloji ambayo haijilipi kifaida hakuna mwekezaji awe wa ndani au awe wa nje ataewekeza.

Mkonga tunao, nani ataewekeza kuunganisha na unapotumika ili ulete faida? anza wewe unangoja nini? kama huwezi kuanza niambie kwa nini? utakuta jibu ni economy hairuhusu. Kama una jibu lingine nifahamishe.
na unadhani ni kwa nini haujilipi kifaida sasaivi? sababu mfumo wa uendeshwaji wake kwa sasa ni mbovu..sera hazieleweki, we angalia hata hiyo TCRA ya kudhibiti vitu kama hivi inafanya nini? matatizo kibao lakini wenyewe wapo tu..udanganyifu wa waziwazi lakini hawana la kufanya..wanaojua kula ndo wameshika kitengo na serikali yetu ndo kama hivi tena..hamna mwekezaji atakayeweza kuwekeza kwa mazingira ya mfumo uliopo sasa!!! ufisadi ni mwingi mno..na ndo maana hali ipo hivi..!! unaposema kujilipa kifaida it depends unaongelea kwa upande gani...inawezekana wewe ndo unaona haijilipi kifaida lakini kuna watu wanafanya juu chini kuweka kauzibe kwenye hii secta ili waendelee kushika wao tu sababu wao wanaiona faida yake!! La sivyo na wao wangeachana nayo hii..nani anataka kufanya biashara huria afu isiyokuwa na faida?? kuna kitu wanapata tatizo ni kwa maslahi ya nani...?? na ndo hapo walalahoi tunapoishia kulalamika tu juu ya technolojia yetu hii huku wao wakiendelea kujisifia kuwa wamepiga hatua..!! Mfano simplemindhapo juu ametoa hii post
Bongo ni zaidi unavo ijua LTE network tayari imezinduliwa hapa . Hata SA hawana hii kitu. Tatizo inapatikana uzunguni tu. Google 4G LTE network dar es saalam
sasa jiulize kwa nini hili kundi dogo limeweza na wanajuhudumia wenyewe tu..kwa nini wasisambaze eneo kubwa?? jibu litakuja ni urasimu mwingi..Tukitaka tuendelee hii nchi ni lazima mfumo wote wa nchi ubadilike...watu tufikiri for the future of our nation tofauti na sasa ambapo wengi wanafikiri juu ya the present of themselves..nchi nyiingi walizopiga hatua kwenye technolojia si kama walianza kwa siku moja tu..ni mikakati ya muda mrefu mpaka wanafika hapo walipo kitu ambacho kwa Tz ni kigumu sana..Lakini si kweli eti hamna wanaojua kutumia hii technolojia kwa tija..wapo wengi tu!!na Tanzania si masikini kivile eti kushindwa kuuboresha huu mkonga..mbona unafaida nyingi sana tu kama wakiamua kweli kuwekeza katika hili? so tunarudi pale pale kuwa tatizo si uwezo..tatizo ni mfumo uliopo si mzuriiiiiiii!!
 
Last edited by a moderator:
napataga 2mbps kwenye voda kumbe na mimi sijaachwa sana maana kuna watu uwa naona 2kbps
 
ukitaka internet ya speed u have to pay more, wapo isp wengi wanatoa speed nzuri tu sema bei ni kubwa ndio mana unakuta watu wanalalamika.

Mfano humu jamvini mtu anaeka kifurushi cha 450 tigo megabox naye anataka speed kubwa unlimited kwa style hii hatufiki.

Mfano leh anatuma screenshot mara kwa mara download speed ni megabyte 2 au zaid per second hii ina maanisha speed ya hio internet ni zaid ya 16mbps ni speed kubwa sana hadi server ya kitaa unatengeneza, kama kweli watu wanajali speed wangemtafuta huyu jamaa na sio kung'ang'ana na internet za 450.

Nafkiri watanzania hatupo serious na hatujawa tayari kwa speed hiyo maana internet hatuitumii kuingiza hela bali tunaitumia kwa entertainment kama kudownload movies na games tu
 
ukitaka internet ya speed u have to pay more, wapo isp wengi wanatoa speed nzuri tu sema bei ni kubwa ndio mana unakuta watu wanalalamika.

Mfano humu jamvini mtu anaeka kifurushi cha 450 tigo megabox naye anataka speed kubwa unlimited kwa style hii hatufiki.

Mfano leh anatuma screenshot mara kwa mara download speed ni megabyte 2 au zaid per second hii ina maanisha speed ya hio internet ni zaid ya 16mbps ni speed kubwa sana hadi server ya kitaa unatengeneza, kama kweli watu wanajali speed wangemtafuta huyu jamaa na sio kung'ang'ana na internet za 450.

Nafkiri watanzania hatupo serious na hatujawa tayari kwa speed hiyo maana internet hatuitumii kuingiza hela bali tunaitumia kwa entertainment kama kudownload movies na games tu
lakini mkuu, hata ingekuwa ni sh100, si umpe haki yake (Mb's) zinazotakiwa lakini kwa spiidi inayoridhisha? akimaliza baada ya dk10 si atataka kununua tena na atarudi!! mi naamin watu wengi wananunua hivi vifurushi vidogo sababu ya kukatishwa tamaa na mwenendo mzima wa internet zenyewe..siwez kuweka hela kubwa afu mpaka inaisha unakuta speed ni ya kusuasua tu eti kisa mtandao ulikuwa unzaingua afu najikuta sijafanya kitu cha maana!! wawe waaminifu kwa vidogo kwanza watu watahamia kwenye vikubwa..hata hao ma ISP wanaotoa spidi kubwa kwa gharama za juu tatizo lao kubwa ni hilihili...unaweza ukakuta siku mtandao hakuna kabisa, au verry slow sana sana utaishia kupewa moyo kuwa kuna tatizo tunalishughulikia...kwanini kusiwe na system ya uhakika ili hata mtu akiamua kujitosa kwa hizo gharama basi angalau roho yake iridhike??!!
 
Back
Top Bottom