Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Habar zenyu wana jf nakuombeni msaada wa haraka tafadhalini! Ninataka kuanza ujenzi wa nyumba ya kawaida self ya room 3 nina shilingi mil.5 tofali nitatumia za kuchoma! Nawasilisha Nyumba nimejenga nimevuta umeme na ndani nilishaingia kwa kiasi ya sh milion 5na nusu