The Crisis In Congo..What Can Tanzania Do?

Tayari DRC na GOSS wameomba wawe wajumbe wasikilizaji wa EAC, Rwanda na Burundi hope they are included, lengo nikuwa na EAF itakayojumuisha Congo na Sudan ya kusini, wasiwasi wangu akina Joseph Koni wasijetoka Garamba na kuhamia kazimzumbwi na akina Nkunga wakahamia Burigi. Hawa watekaji magari wa Runzewe wametushinda, je hawa warloads?

Nadhani ingekuwa busara kufikiria kuunganisha Tanzania, Zambia, Msumbiji, malawi na Zimbambwe kuliko hii EAC. Kimsingi wananchi wakawaida wakotayari kuungana nasi hataleo, kikwazo ni matakwa tu ya kisiasa.
 
....kwanini umwamini mtu aliyeua watu milioni moja na anaamini adui yake number moja ni mtutsi na tayari anakuona wewe ni mtutsi,naona mpaka tutsi genocide nyingine itokee Congo ndio labda mtaanza kufikiria mara mbili kuliko sasa mnavyoongozwa na consipiracy theory vichwani kwenu,Nkunda linda ndugu zako na usalama wenu ni juu yenu sio makelele ya wapuuzi wasiojua hatari amabyo mpo na mpaka pale Interahamwe watakapokubali kuwa disarmed ndio kitaeleweka la sivyo endelea kuongeza majeshi
 
Hii inaelekea kuwa tatizo la watutsi.Wao kila walipo wanataka kuongoza nchi.kwa mfano Uganda(museveni),Rwanda(Kagame),Burundi( hapa napo kama sio jamaa kuwa wababe walikuwa wameanza kupamind),Congo( ndiyo hivyo tena wanataka wawe viongozi tuuu).
Hii sababu ya kulinda watutsi while your killing congolese and steal their resources is stupid and nonsense!. How are you goin to say your protecting tutsi while your recruiting children,rapin,mutilating and executing innocent people?
Ashukuru tu UN wanazuia major offensive in eastern congo la sivyo Angola itamfanya kama ilivyowafanya sponsors wake( Rwanda and Uganda) mwaka 1997/8 Iam sure he knows Angola very well.!!
 
..nadhani wakati umefika kuwasaidia ndugu zetu wa Congo kupambana na maasi na ugaidi ktk nchi yao.

..wananchi zaidi ya millioni 2 wamepoteza maisha yao tangu vita vya Congo vianze.

..Gen.Laurent Nkunda amekiuka makubaliano ya amani, na kuamua kuihujumu serikali iliyotokana na uchaguzi huru na wa haki, kwa standard za Afrika, na nchi za magharibi.

..Tanzania inapakana na Jamhuri ya Congo. wananchi wetu wana undugu wa siku nyingi. nchi hizi mbili ni wanachama wa jumuiya ya SADC.

..majuzi majeshi yetu yalikwenda kuzima maasi kule Comoro. naamini kabisa usalama wa Congo ni muhimu kwa Tanzania kuliko ule wa Comoro.

..wakati umefika kwa Tanzania kuchukua hatua za kijeshi kuhakikisha usalama kwa ndugu zetu wa Congo.
 
unataarifa kwamba wanajeshi wastaafu wanatoa mafunzo kongo kwa huyo nkunda ? au unaongea tu ? nkunda akishinda hiyo vita itakuwa ahueni kwa wengi hata uganda na nchi jirani
 
LUMUMBA-LIKE LAURENT NKUNDA

For a while, Nkunda had the support of Rwanda,
which considered his forces a necessary bulwark against Hutu militiamen.
Though Rwanda says it no longer supports him,
its sympathy for Nkunda's activities borders on justification.
"Rwanda cannot establish a relationship with such a person,
but we can understand why Nkunda is Nkunda.
We can understand his argument."

CLICK Nkunda Congo

KUJUA ZAIDI
 
Tanzania watu wanakufa wengi sana kuliko hao kwa sababu za uzembe wa watu wachache (hawana tofauti na hao waasi wa Congo na kwingineko Africa)....hakuna sababu ya kwenda kujipendekeza huko wakati ya kwetu yametushinda.

Asante
 
Shy said:
unataarifa kwamba wanajeshi wastaafu wanatoa mafunzo kongo kwa huyo nkunda ? au unaongea tu ? nkunda akishinda hiyo vita itakuwa ahueni kwa wengi hata uganda na nchi jirani

Shy,

..sina taarifa kwamba askari wastaafu wa tanzania wanatoa mafunzo kwa vikundi vya waasi kama Gen.Nkunda.

..Gen.Nkunda ni war criminal kwanini wa-Tanzania wanajihusisha naye?

..Uchaguzi umeshafanyika, kwanini Gen.Nkunda anaendelea kutesa wananchi bila sababu ya msingi?

..Kwanini Gen.Nkunda hakusimama ktk uchaguzi kama anataka kuongoza?

..wakati umefika kwa Tanzania kusema inatosha. wananchi wa Congo wameteseka vya kutosha.
 
Nkunda anatetea watu wake kama russia ilivyofanya huko georgia , kony anavyofanya huko uganda na sehemu zingine kote duniani
 
..nadhani wakati umefika kuwasaidia ndugu zetu wa Congo kupambana na maasi na ugaidi ktk nchi yao.

..wananchi zaidi ya millioni 2 wamepoteza maisha yao tangu vita vya Congo vianze.

..Gen.Laurent Nkunda amekiuka makubaliano ya amani, na kuamua kuihujumu serikali iliyotokana na uchaguzi huru na wa haki, kwa standard za Afrika, na nchi za magharibi.

..Tanzania inapakana na Jamhuri ya Congo. wananchi wetu wana undugu wa siku nyingi. nchi hizi mbili ni wanachama wa jumuiya ya SADC.

..majuzi majeshi yetu yalikwenda kuzima maasi kule Comoro. naamini kabisa usalama wa Congo ni muhimu kwa Tanzania kuliko ule wa Comoro.

..wakati umefika kwa Tanzania kuchukua hatua za kijeshi kuhakikisha usalama kwa ndugu zetu wa Congo.

Nkunda si mwasi.Wakongo matapeli wakubwa.Walimtumia mpiganaji mwenye asili ya kitustsi Nkunda kupigana na kumtoa Mobutu halafu walimpomtoa Mobutu Serikali ya Kabila Mkubwa na huyu wa sasa wakamsahau yeye na watu wa eneo lake kwenye mgao wa keki ya mafanikio ya Congo na kulifanya eneo hilo la Nkunda liwe hovyo kiuchumi na kisiasa kuliko hata kipindi cha Mobutu.

Oginga Odinga wa Kenya aliandika kitabu cha NOT YET UHURU.Kule kwa Nkunda twaweza sema pamoja na akina Kabila kushika lserikali akini bado eneo lile NOT YET UHURU.

Kumwita Nkunda mwasi ni kudharau mchango wake kwa amani iliyoko Rwanda,Burundi na Uganda.Mwondoe Nkunda leo na wapiganaji wake,kesho wapiganaji waasi wataibuka na kuvamia Rwanda,Uganda na Congo hakutakalika.Nkunda ni ngome inayolinda amani iweko Rwanda na Uganda kwa kudhibiti makundi ya waasi yaliyoko kwenye eneo aliko mtawala aliyejitangazia madaraka Nkunda.Waasi wengi wa kongo, Rwanda,Burundi,Uganda wapo eneo alipo Nkunda na ana kazi kubwa kweli kuwanyamazisha wasimsumbue yeye na wasisumbue Rwanda Uganda na Burundi na kuzalisha wakimbizi wa kufurika Tanzania.

Majeshi ya Tanzania wanajua kuwa ukimtoa Nkunda ukamkamata yeye na wapiganaji wake Tanzania hapatakalika kwa kufurika wakimbizi wa kongo,Rwanda,Burundi na Uganda kwa mapigano yatakayolipuka.

Hivyo njia moja ya kudumisha amani ni kumuacha Nkunda.Ni kweli yawezekana anaivuruga kivita Kongo lakini ni heri nchi moja ipate shida kuliko umtoe Nkunda na nchi nyingi kama Rwanda,Burundi,Uganda,Tanzania na Kongo yenyewe zipate taabu.Usalama amani na utulivu wa nchi nyingi za Afrika Mashariki unategemea Nkunda akiondoka lile eneo lake lina wapiganaji waasi wa kila aina kutoka kila nchi Afrika mashariki na sitashangaa kusikia wako hata waasi wa Tanzania wanaomfundisha Nkunda kuimarisha Africa mashariki.

Sina tatizo na Nkunda.Hata tukikutana nitampa ofa ya chips ale.
 
afp_drc_general_laurent_nkunda_195_04Mar07.jpg
Jenerali Nkunda

_40245315_nkunda_afp203body.jpg
Jenerali Nkunda


na hawa hapa chini ni wapiganaji wake
610x.jpg


img.86566_t.jpg


610x.jpg





Huyo ndo jenerali Nkunda, jenerali Mwenye kupigana na vikosi vya Serikali na matokeo ya mapigano hayo ni mauaji, maumivu yaliyokithiri, watoto kuachwa yatima, Machungu yasiyomithirika ya kina Mama na kina Baba, katika hali hii je sisi Watanzania ni kitu gani tulichokifanya kusaidia kumaliza hali hii?. kama tulipeleka majeshi Comoro ambako hakukuwa na mauaji yoyote kinatuzuia nini sisi kupeleka majeshi kumsaidia Kabila?.

look!. ninaelewa kwamba sisi ni masikini na tuna matatizo kibao, lakini si utajiri wetu utakaotufanye sisi kuwa watu wa msaada!, katika hali kama hii ambayo wanadamu wenzetu wameumia kwa miaka nenda rudi ni wakati muafaka kwa serikali yetu kutumia nafasi yake iwe kisiasa katika AU na SADC au hata kijeshi kusaidia kumaliza tatizo hili?

Mimi ninafikiri kama kabila ana uwezo wa kufinance hii vita, atoe pesa na sisi Watanzania tuingie kazini!. uwezo tunao, sababu tunazo, tuweke nia ndugu zangu- injustice anywhere is an injustice everywhere.

Tuliwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro umulike hata nje ya mipaka yetu ili ulete tumaini pale ambapo hapana matumaini, sasa sisi mbona jirani wetu anaungua lakini bado hatujachukua hatua barabara?
 
Tanzania imekuwa ikimsapoti huyu jamaa kwa siri ya hali ya juu. ndio maana wamekalia kimya.
 
Gamba,

Hivi unajua kwamba watu kama akina NKUNDA wanapigana kwa sababu ya hiyo hiyo INJUSTICE unayoisema? Sasa kwa nini Kabila asikae chini akawasikiliza hawa jamaa madai yao? There is a right to disobey UNJUST Law and I would add, there is a right to disobey unjust leaders! Tatizo la viongozi wetu they dont trust in peace talks! wanaingia kwenye mazungumzo kama ku-buy time tuu.

Unajua I dont advocate violence maana najua kila maisha ya mwanadamu ni precious. Lakini kwa Africa ilipofika, bila kudai haki yako kwa nguvu, huwezi kuipata kamwe!Angalia kinachotokea Zimbabwe. Mugabe yeye anataka acontrol kila wizara nyeti..defence, home affairs, foreign, finance etc! Yaani watawala wetu wana ile sense of entitlement. Kwa mfano Tanzania tukitaka katiba mpya..bila kuwanyima kura CCM na kuwashikia bango viongozi wetu hatuwezi kuipata ng`o!

Hii vita ya CONGO Kabila akiamua kuimaliza inaweza kuisha. Tatizo hawa viongozi wetu hawaambiliki! wao wanaona kama dhamana ya kutawala walipewa toka mbinguni. Hakuna haja ya kutumia resources zetu kidogo kuingia CONGO Kabila anaweza kukaa chini na Nkunda wakaongea. Tatizo wewe unawahurumia wananchi..lakini as a rule maisha ya mwananchi Africa hayana thamani-atleast maachoni mwa viongozi wetu.
 
Huwezi ukawa na amani ya kweli kama jirani zako hawana amani. Hili ni sawasawa na kuamini kuwa magugu kwenye shamba la jirani yako kamwe hayatavamia shamba lako pia.
Tanzania itakuwa ikijidanganya kama itaamini kuwa hali ya kivita iliyoko Mashariki ya Kongo haihusu kabisa. Mimi ninaamini inatuhusu na tuna wajibu wa kutafuta njia ya kumaliza tatizo hili kwa kushirikiana na Rais Kabila na umoja wa mataifa.


Ikumbukwe kwamba Tanzania na Kongo ni ndugu. Na tena sio undugu wa juu juu bali ni undugu wa tamu na hivi tunavyozungumza baadhi ya wanaouawa huko Mashariki ya Kongo wana ndugu zao Kigoma, Ujiji, Tabora na kadhalika.
Ipo haja ya kuthibitisha udugu huu kwa Tanzania [bila kutumia fedha yake bali ya AU, UN na ya Kongo yenyewe kuleta amani ya kudumu mashariki ya Kongo.

Hatuna uwezo wa kifedha kuisaidia Kongo, lakini tuna uwezo mkubwa wa akili na kuona mbali kwa faida ya wakongomani.
Hatuna sababu ya kuwa waoga, bali tuna kila sababu ya kuonesha ushujaa wa kuwasaidia watu wanaoteseka miaka mingi huko Kongo. Hatuna nia ya kuitawala Kongo lakini lazima tuwe na nia ya kuona Wakongomani wanajitawala kwa amani na wanajenga umoja wa kweli katika nchi yao na kuacha vita katika kaburi la sahau, la, sivyo vijana magharibi ya nchi yetu wakiona hali inazidi kuwa ngumu wanaweza nao wakaamini njia nzuri ni ile ya kuwaiga wenzao wa mashariki ya Kongo, yaani, jirani zao.

Kuachia vita mashariki ya Kongo pia ni kushindwa kutambua hasara tunayopata kwa nchi hiyo kutokuwa na amani kiuchumi na kibiashara. Isifikie kiasi cha kwamba kwa ufupi wa akili zetu tunadhani kwamba nchi hii inaweza ikaachanaa na umaskini kwa kutegemea rasilimali zake yenyewe na biashara ya ndani badala ya rasilimali za wengine na biashara za nje.
Amani mashariki ya Kongo sio tu itahakikisha amani magharibi ya Tanzania bali pia maendeleo ya jamii na kiuchumi katika sehemu hiyo ya Tanzania.
Amani ikiwepo mashariki ya Kongo kutasaidia pia kuimarisha mawasiliano mbalimbali magharibi ya Tanzania na Kongo, Burundi na Rwanda na hivyo kupanua njia moja inayochangia kwa kiasi kikubwa kipato cha Watanzania.
Matumizi ya reli, barabara, simu za mikono na mawasiliano ya aina nyingine yataongezeka na hivyo kuimarisha shughuli za kiuchumi na kijamiii katika maeneo haya.

Rasilimali za Kongo kwa hivi sasa zinaporwa sio tu na wale wanaojitia kuwa wamekwenda huko Kongo kusimamisha amani
bali pia na mamluki wa nchi mbalimbali za magharibi ambao kuendelea kwa Kongo kuwa katika msukosuko wa vita ni faida kwao.
Kuwepo kwa majeshi ya Tanzania yenye sababu nzuri ya kuwepo Kongo maana ni nchi ndugu na jirani kutamaliza wizi wa madini na rasilimali nyingine za Kongo.
Ajira mbalimbali zinawangoja watanzania wasio na ajira hapa nchini huko Kongo kama mashariki ya Kongo itakuwa na amani ya kudumu. Walimu, madaktari, wahandisi, wahasibu, mafundi, mabwana kilimo, wanateknohama, madereva, polisi na kadhalika wanahitajika kwa maelfu katika nchi hiyo.
Kuna soko la watu zaidi ya milioni 50 huko Kongo ili mradi tu nchi hiyo iwe na amani. Hii ina maana bandari ya nchi kavu pale Ujiji/Kigoma itachanganya vilivyo kama mashariki ya kongo ikiwa na amani. Magari, meli na ndege za Tanzania zitakuwa na biashara ya kutosha kama mashariki ya Kongo itakuwa na amani. Kiswahili nacho kitasogea toka Dar es salaam [pwani ya Bahari ya Hindi] hadi Matadi [pwani ya bahari ya Atlantiki]. Wakati wa Tanzania watakuwa na fursa ya kipekee kuwekeza katika mahospitali, zahanati, vyuo, mashule na makampuni ya kibiashara katika eneo hilo la Mashariki ya Kongo.
Nkunda na askari wake ni watu Wakorofi ambaoi wamezoea kuishi kwa ncha ya upanga na kwa kuwaibia maskini wa Kongo mali asili yao, hawana nia ya kweli kuleta amani nchini humo. Pamoja na hayo hivi sisi Watanzania tutakubali kweli kuwa na subira ya miaka 10 mingine ya vita ili Nkunda amuondoe Kabila na kisha na yeye aanzwe kupiga vita na watu wengine? Hivi tunaitakia mema kweli Magharibi ya nchi yetu?
Hivi tumekwishajiuliza hawa wakorofi wataishia wapi? Hawategeuka kweli kuwa Mamluki-kesho na keshokutwa magharibi ya Tanzania?

Hata kama tutasema hatuna haja na kufaidika na uchumi wa watu wa Kongo lakini bado tuna wajibu wa kibinadamu kuhakikisha kuwa wanawake, wazee, wanafunzi na watoto wanaoteseka kutokana na vita hii wanapata nafuu haraka iwezekanavyo.

Huu ni wakati wa kujiuliza je, nchi, iliyokwishawahi kutamka kwamba Tanzania haiwezi kuwa huru mpaka Afrika nzima iwe huru haistahili pia kutamka: " Tanzania haiwezi kuwa na amani mpaka Afrika nzima iwe na amani ? "

Wabunge naomba mjadili suala hili. Mtuoneshe mnaanza kubadilika na kwamba sasa kweli mnakuwa bunge la kitaifa na la kimataifa!
 
Wakongo mmekuwa mkisifika kwa utapeli tuelezeni baada ya majeshi yetu kuwasaidia kumtimua Mobutu Tanzania mlillipa fadhila na fursa gani? Mliahidi vitu vingi je ni vipi mlivyotekeleza?

Rwanda waliwasaidia pia mkaahidi vitu vingi endapo mobutu ataondoka mumewatekelezea vingapi?

Msilete ahadi mpya kuwa ooh amani ikipatikana mtapata AJIRA SIJUI NINI mtapata kile .Acheni utapeli wakongo wakati mlitutupa sisi Watanzania na Rwanda mlipoona Mobutu kaondoka mkajikausha mkaendelea kucheza ndombolo mkituacha wenzenu solemba wakati mnajua kabisa nchi zetu zilikuwa hoi kiuchumi wakati tulipokuwa tunawasaidia.

Hatuji kuwasaidia wacheni Nkunda awaponde shenzi nyie.

Yakiwanyookea mnawasahau waliowasaidia kuwapa fursa waafrika wenzenu ambao damu zao zimemwagika kongo na wametumia raslimaLi zao kuwasaidia wakiacha wajane kibao na watoto yatima majumbani mwao na chumi zilizoporomoka.
 
Licha ya yote haya Kikwete ni mwenyekiti wa Umoja wa nchi za Kiafrika..
Hata sielewi chunusi gani ametupata...!
 
Mod Hebu irudishe ile Thread ya Jenerali Nkunda hapa kwenye ukumbi wa Siasa, kwa sababu Thread hiyo imechukua mkondo wa Sera za nje za Tanzania kwa hiyo ni fair game iweko hapa, na ni ya muhimu sana kwa watu wengi kuichangia!
 
Battles rage near key Congo town

_45149231_tanks226bbc.jpg


The army is finding it difficult to locate the rebel fighters

Government troops and UN forces have been involved in fierce battles against Tutsi rebels in eastern Democratic Republic of Congo.

Reports from the region suggest the strategic village of Kibumba, north of the regional capital Goma, is the latest to have fallen to the rebels.

Renegade General Laurent Nkunda's fighters say their next target is Goma, where thousands of civilians have fled.

The head of the UN mission in Congo says he desperately needs more troops.

The UN Security Council late on Tuesday called for an immediate ceasfire and issued a statement in which it "strongly condemned the offensive operations" against its peacekeepers.

UN forces have been using attack helicopters and tanks to try to stop the rebel advance, but they say the rebels work in small groups, making them difficult to locate and repulse.

Alan Doss, the head of the UN mission in DR Congo (Monuc), told the BBC his forces were stretched to the limit and needed urgent reinforcements.

He said his troops would do their utmost to stop major towns in the region from falling to the Tutsi rebels under Gen Nkunda.

We simply cannot send teams out into the countryside... it's too dangerous; it's anarchy

UNHCR's Ron Redmond


"We are going to remain there, and we are going to act against any effort to take over a city or major population centre by force," he said from Kinshasa, the Congolese capital.

Monuc has 17,000 troops in DR Congo - the largest peacekeeping force in the world - but has come under criticism from residents in the east of the country for being unable to protect them.

The head of UN peacekeeping, Alain Le Roy, briefed the Security Council, and said the appeal for more troops had been "heard clearly by all member states".

Refugee crisis

The towns of Rutshuru and Rubare have also been threatened by the rebel forces. Rutshuru houses tens of thousands of displaced people and dozens of aid workers are usually based there.

Some of them told Associated Press news agency that they could hear artillery fire near the town but that crowds of anxious civilians and Congolese soldiers were blocking UN efforts to evacuate them.

A UN worker said thousands of people were fleeing Rutshuru heading toward the Ugandan border to the north

Thousands flee Congo fighting

An estimated 20,000 people have already fled towards Goma, many of them having left a refugee camp in Kibumba as the fighting approached on Monday.

About 200,000 people fled their homes after fighting resumed in the area in late August.

The United Nations says many refugees are malnourished and some are dying of hunger.

Ron Redmond of the UN refugee agency says it almost impossible to reach those in need of help.

"We simply cannot send teams out into the countryside. There's too much fighting going on; it's too dangerous; it's anarchy," he said.

"There are already some 800,000 to a million people internally displaced in this region, so it's really a huge population in need of help."

_45151542_dr_con_virunga_466.gif

Rwanda has been accused of backing Gen Nkunda, who left the army and launched his own low-level rebellion after DR Congo's civil war ended.

He says he is fighting to protect the minority Tutsi community from the Hutu militia which carried out the 1994 genocide in Rwanda.

A peace deal was signed in Goma between the government and various rebel groups at the end of January.

Although he signed the deal, Gen Nkunda - whose main strongholds are in Kichanga in the Masisi Mountains and Bunagana town bordering Uganda - has always refused to disarm while Rwandan Hutu rebels still operate in the area.

Many Congolese say that Rwanda is helping Gen Nkunda's forces, something that both Rwanda and the UN have denied
 
Back
Top Bottom