macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,698
- 39,404
Majimshindo leo umeuliza swali zuri mno... hongera sanaKumbe JK ana power ya kulishinikiza Bunge lifanye atakavyo? Ha ha haaaaaa ha.
Mie nilifikiri Zitto yuko pale kwa nguvu ya CHADEMA kumbe chadema si lolote si chochote.
Jibu ni ndio. Ana power hiyo akitumia wabunge vikaragosi wa CCM wanaoongoza na kibibi jitu.....
Ndio maana tunapigania mabadiliko......