Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Nyie watu kosa la zitto na cdm liko wapi? Mmeshaambiwa kulikuwa na njama ili cdm isipate kamati mojawapo. Jk kaokoa jahazi. Tatizo liko wapi?
pole kama huoni tatizo, lala kwanza ukiamka utajua kama una usingizi vile:juggle: