The Citizen: JK alilishinikiza Bunge kumpa Zitto ulaji

Gazeti ni The Citizen on Sunday la leo tarehe 20 Machi 2011 ukurasa wa mbele ambayo ndiyo habari kuu. Kichwa cha habri cha stori hiyo ni: 'How Kikwete saved the Day for Chadema'
Kama habari itakuwa ya kweli...
Bunge haliko huru... linaendeshwa kwa remote control toka ikulu...
 
Mkuu, Heshima mbele!
Habari tamu sana lakini hukutoa chanzo na Wana JF wameitafuta kwenye The Citizen hawaioni. Unaweza kutuwekea chanzo cha habari ikiwa haitoki "Redio Kifua"?


Soma Reply No 12 hapo juu na nyinginezo. The Citizen bado hawajapost kwenye website ya gazeti lao la leo. Subiri labda baadaye watakuwa wame-lipost.
 
Tunamwomba Zitto aingie humu JF na atujibu masuala haya:

1. Je ni kweli aliwasiliana na JK kuomba ulaji katika POC?

2. Kwa nini alifanya hivyo?

3. Je hakuona kwambakwa yeye kupewa Uwenyekiti wa POC na JK kunamaananisha kwamba atakuwa anafanya majukumu yake kwa masilahi ya JK (aliyefanikisha kuipata nafasi hiyo) na serikali ya CCM kwa ujumla -- na siyo kwa masilahi ya umma wa Watanzania kwa ujumla?

Umeiweka vizuri hii. Ajitokeze atueleze kwa nini amtegemee JK kwa ulaji. Kwa nini Wabunge wengine wa Chadema hakakufanya kama yeye. Ni dhahiri JK na CCM yake walikuwa wakiogopa wabunge makini wa CDM kama Tundu Lissu, Mnyika na Halima Mdee kuingia katika kamati hizo kwani caama hicho tawala ingekuwa ni kamasi tu zinawadondoka hadi mwisho wa uhai wa Bunge hili. Kwa Zitto wamepata ulaini kweli kweli.
 
Nimecheka sana hii habari!naona kuna watu mnamlaumu Zito , kosa lake ni nini hasa? kama ilivyoandikwa citizen ndiyo hii?

great thinkers think!!
 
Zitto alishajimaliza ni suala la muda tu. Hat unaibu katibu mkuu anao kwa ajili ya kuwatishia wafadhili wake tu maana ana miezi hajakanyaga ofisi yake, bora angemkabidhi mwingine ofisi yake aliye tayari kuifanyia kazi! akiulizwa anajibu anauguliwa mama yake ila ikulu na vikao vya kamati za bunge hana mgonjwa anaenda. Atakujaijua CCM ni nini karibuni kwa vile ameamua kuwa na muono mfupi.
 
I qoute from The CITIZEN

" SOURCES IN CHADEMA AND WITHIN THE NATIONAL ASSEMBLY CONFIRMED THAT MR KABWE, A RABID CRITIC OF THE GOVERNMENT IN THE LAST PARLIAMENT, TELEPHONED PRESIDENT KIKWETE TO SEEK HIS HELP IN HIS LAST DITCH EFFORTS TO HOLD INTO THE POSITION"
 
jamani mwacheni naye apate malipo yake siasa mnakumbuka alisema hawezi kutoka bungeni wakati jk akizungumza anachelea kumuumiza roho na ilimgharimu zitto kidogo avuliwe unaibu wa kambi ya upinzani mwacheni limbukeni huyo
 
I qoute from The CITIZEN

"MR PINDA TOLD THE CCM LAWMAKERS THAT THE PRESIDENT WANTED THEM TO VOTE FOR MR KABWE" A CHADEMA MP WHO ASKED NOT TO BE NAMED AS HE IS NOT THE PARTY'S SPOKESMAN
 
Umeiweka vizuri hii. Ajitokeze atueleze kwa nini amtegemee JK kwa ulaji. Kwa nini Wabunge wengine wa Chadema hakakufanya kama yeye. Ni dhahiri JK na CCM yake walikuwa wakiogopa wabunge makini wa CDM kama Tundu Lissu, Mnyika na Halima Mdee kuingia katika kamati hizo kwani caama hicho tawala ingekuwa ni kamasi tu zinawadondoka hadi mwisho wa uhai wa Bunge hili. Kwa Zitto wamepata ulaini kweli kweli.

Unatafuta ngamia wa kupita kwenye tundu la sindano? Zito is a loser kwa kweli hawezi kujitokeza maana anajua anamtumikia nani. Niliwahi kusema kwenye hii forum kwamba huyu kijana bado hana uwezo wa kuwa kiongozi. Alitishwa na mafisadi na amenywea kama kuku aliyenyeshewa na mvua.
 
hakuna cha aibu zto baba usisikie mamneno ya watu,we kamuwa tuuuuu,kwani bwana zito kusaidiwa na kikwete kuna shida yeyote ile?
mimi sioni kama kuna tatizo

Kama huoni tatizo la bwana Zito wa Chama cha Upinzani kusaidiwa na Bwana Kikwete Mwenyekiti wa Chama Twawala basi bila shaka wewe ni mmoja wa watanzania wanaosababisha tuwe hapa tulipo. mgawo wa umeme, gharama za maisha kupnda na kdhalika. Kama huoni tatizo unaweza kuchukua hatua kweli?? Una tofauti gani na Mheshimiwa ambaye anasema haoni kwa nini WaTZ ni masikini?? Poor You.
 
Tunamwomba Zitto aingie humu JF na atujibu masuala haya:

1. Je ni kweli aliwasiliana na JK kuomba ulaji katika POC?

2. Kwa nini alifanya hivyo?

3. Je hakuona kwambakwa yeye kupewa Uwenyekiti wa POC na JK kunamaananisha kwamba atakuwa anafanya majukumu yake kwa masilahi ya JK (aliyefanikisha kuipata nafasi hiyo) na serikali ya CCM kwa ujumla -- na siyo kwa masilahi ya umma wa Watanzania kwa ujumla?

Mr. I always like to think independently,

je asipokuja JF utamfanya nini? n je maswali uliyouliza hatuwezi kupata majibu kwingineko? kama taarifa hii hakuitoa zito, kwa nini tupate majibu mengine kwa zito?

Swala la Zito ni very complicated ndani ya chama chake na nachelea kusema tumelitengeneza wenywewe.

Ukweli unabaki palepale hata kama zito leo hii ataamua kuwa fisadi kama wengine wote, Hakuna mnaloweza kumfanya!!! mtaishia matusi tu na kejeli..hii ndiyo hula yenu

Kwa sisi wengine ambao tunashindwa kuvutwa na upepo naweza kusemakama Zito ana tatizo basi ni tatizo la chama chake choote

Hii habari Citizen wanasema wameitoa ndani ya chadema!! what a shame! ina maana ndani ya chadema kuna vitu viwili

1. Kuna uchafu unaendela kiasi cha kuwa hata zito akiufanya wengine hawawezi kumuadabisha kwani nao wanayoyao
2. Kama CDM haiwezi kumchukulia hatua basi ni dhaifu sana, kama wanaogopa kuwa wakimfukuza Zito watakipasua chama basi ni sawasawa na Pinda alivyosema tukikamata mafisadi nchi itatikisika! I insist there is a problem somewhere!

Haya ni mswali magumu ya kichama, ukija kiserikali

1. Je leo naweza kumpigia simu JK na akanipa cheo ninachokitaka?? Kama Zito aliomba na kukiwa hamna chance ya chadema kupata nachanganyikiwa ,aidha Zito anaihitaji kusifiwa! na kama anahitaji kulaumiwa basi ppoint za hapo juu apply!
2. Kama Zito alimpigia simu JK AIDHA na tunavyojua ni serikali imeshindwa kabisa hivyo Zito anaingia kama expert! serikali imeonyesha udhaifu na bila akili na msaada wa Zito Ngeleja chali!

Au wengine tungeweza ku-view hili swala kuwa SI MARA YA KWANZA KWA ZITO KUJITOKEZA KUONYESHA ASPIRATION FULANI KATIKA VITU FULANI SI MARA YA KWANZA

1. Zito alikuwa mtu pekee kuzungumzia swala la Dowans nyakati zile ambazo hakuna aliyeweza kusema chochote kile mpaka kiongozi wa nchi! aliyosema wote tuliyasikia, dowans ile , leo tunajua status, na hakuna siri! Kwangu mimi Zito is an hero...Yes kama mjasiriamali basi nacheka sana kuwa kumbe JK akipigiwa simu tu anatoa cheo?? This made my day! kesho napiga simu kutaka uwaziri mkuu! Pinda hawezi. Kipindi kile neno la rais lilitakiwa sana na sentensi au tamko la ZITO LILIONEKANA KAMA NDIYE RAIS...historically noted! na wengi mnafanya kosa hili tena na tena!

2. Hata sasa udhaifu wa cabinet na baadhi ya watenda kazi wa serikali hamna kitu ni zero na wakitokea akina Janaury makamba na akina Zito wakaonyesha wanaweza WANAPEWA TU, kwani leo hii JK akamteua say MKJJ kuwa bosi wa NSSF nani atabisha?? au atakuwa kanunuliwa, hatuna tabia ya wakenya ya kujiuza au KUUZA CV na ability zetu, kila siku mtabaki kusema yule analinda mafisadi!



Mwisho though is painfully to say this CHADEMA losed his status

1.Wasingerudi bungeni mpaka leo hii mpaka kieleweke swala la aktiba ambao leo hii ...kimya!
2.wangekomaa kutomtambua JK kuwa rais wa nchi hii

Sasa matumbo ya njaa ya hawa wabunge wa chadema ndiyo yanasababisha haya yoote, ndiyo wale wapi? hamjaona juzi wamepewa mil.90 na wamekaa kimya, mnataka tuwanyoshee vidole wachache tu!!!

Haya endeleeni kumtukana Zito lakini msisahau Hoja, kama hoja ni kupiga simu na kupata cheo...na sio kuwa JK alimbembeleza Zito then we are not judging this fairly!

Please Zito whereever u are if this information is true, receive my warm congrats, Thank God you have exposed JK once again!. Naomba namba ya JK nataka cheo fulani!!
 
Nimecheka sana hii habari!naona kuna watu mnamlaumu Zito , kosa lake ni nini hasa? kama ilivyoandikwa citizen ndiyo hii?

great thinkers think!!
Ama...
Wewe huoni ni hatari kwa rais wa nchi kuamrisha ni nani apewe nafasi gani bungeni na nani asipewe??? Ina maana wabunge wanafanya kazi chini ya rais sio?
Au unatania???
 
Sunday, 20 March 2011 13:27 digg

By Tom Mosoba and Florence Mugarula
Dar es Salaam. President Jakaya Kikwete personally intervened to help Chadema secure the chairmanship of at least one of the 17 parliamentary committees and avoid a whitewash, as newfound allies CCM and CUF had teamed up in the National Assembly to lock out the vocal opposition party.

President Kikwete, sources told The Citizen on Sunday, influenced the re-election of Kigoma North MP Zitto Kabwe, as chairman of the Public Corporations Accounts Committee (POAC), despite the raging hostility between his own Chama Cha Mapinduzi (CCM) and Chadema.

Sources in Chadema and within the National Assembly confirmed that Mr Kabwe, a rabid critic of the government in the last Parliament, telephoned President Kikwete to seek his help in his last-ditch efforts to hold onto the position. He was then facing stiff opposition from hostile CCM lawmakers supported by the opposition Civic United Front (CUF), Tanzania Labour Party (TLP) and NCCR-Mageuzi MPs.

After speaking to Mr Kabwe, the President, who is also the CCM national chairman, reportedly directed Prime Minister Mizengo Pinda to rally support for the Chadema MP to head the POAC.

"Mr Pinda told the CCM lawmakers that the President wanted them to vote for Mr Kabwe," a Chadema MP, who asked not to be named, as he is not the party's spokesman, told The Citizen on Sunday this week.

However, the State House in Dar es Salaam, denied that President Kikwete had exerted pressure on the MPs or directed them on how to vote for the heads of the parliamentary committees that monitor and audit the Executive's performance.

Assistant Press Secretary to the President Premi Kibanga said he was not involved in choosing or endorsing the heads of the parliamentary committees. She said that was the MPs' role, in accordance with the parliamentary Standing Orders.

"The President is not involved in such business. Everything is done by the MPs themselves," said Ms Kibanga in a telephone interview this week, when asked about Mr Kabwe's alleged SoS phone call to the Head of State.

The Kigoma MP would himself not give anything away on his supposed lobbying of President Kikwete to personally intervene to secure him a second term as chairman of the POAC. Formed by the last Parliament, it has oversight over more than 100 public organisations and agencies that spend billions of taxpayers' funds every year.

"What I know is that the CCM had agreed to endorse the Wawi MP, Mr Hamad Rashid Mohammed, in their midnight meeting instead of me, but later in the morning, things changed and I was endorsed with 13 out of 15 votes," he said.
But reached for comment, Mr Mohammed dismissed the claim, saying he had no intention of challenging Mr Kabwe.
"I know nothing about that matter. I had wanted to vie for the Public Accounts Committee (PAC) chairmanship, but dropped the idea after Bariadi East MP John Cheyo said he would defend it," he said.

Speaking on the sidelines of the recent MPs' seminar at Ubungo Plaza in Dar es Salaam, Mr Kabwe could not confirm whether he spoke to President Kikwete on the issue. "I was sure of winning the post because I had already secured eight votes, which is the threshold, but I ended up getting 13, which was good," said Mr Kabwe.

He defeated CUF Nominated MP Amina Mwidau Mohammed. According to the parliamentary Standing Orders, MPs, who are members of a given parliamentary committee, elect one of them to chair the committee. With 10 seats, CCM has a majority of members of the POAC. Chadema and CUF have three and two, respectively.

It was not immediately clear if Mr Kabwe called the President in his personal capacity or as his party's deputy secretary general.

Chadema national chairman Freeman Mbowe, and the secretary-general, Dr Willibrod Slaa, could not be reached for comment.

The Kigoma North MP has in the past rubbed his party the wrong way, with critics alleging covert links with some top CCM bigwigs, an accusation he has vehemently denied.

Before the February Bunge committee elections, Mr Kabwe had been taken to task by his party for staying away, when they resolved to stage a walkout during President Kikwete's State address to open the 10th Parliament. The MP would later be quoted by a section of the media, as saying that he held the President in high esteem and could not show disrespect by boycotting his address to Parliament.

Emerging details show that CCM had, in reaction to the walkout, planned to use its numerical strength in the House to block Chadema, which succeeded CUF as the official opposition in Parliament after the 2010 General Election, from heading the committees. The ruling party was also ready to support MPs from other opposition parties other than Chadema, to win those positions.

An MP said the Speaker of the National Assembly, Ms Anne Makinda, had rooted for Ms Mohammed for the post, after her own efforts to persuade the MPs to back Mr Kabwe had failed.

"Ms Makinda had also warned that removing the Chadema MP would be unwise because he had shown credible performance in the 9th Parliament," said the MP, who requested for anonymity.

The MP, who comes from the Lake Zone, said a meeting in the night preceding the election had settled on the former leader of the Official Opposition, but the situation changed dramatically in the morning after the PM's word went around. We could not reach Mr Pinda or his aides for comment.
 
Mr. I always like to think independently,

je asipokuja JF utamfanya nini? n je maswali uliyouliza hatuwezi kupata majibu kwingineko? kama taarifa hii hakuitoa zito, kwa nini tupate majibu mengine kwa zito?

Swala la Zito ni very complicated ndani ya chama chake na nachelea kusema tumelitengeneza wenywewe.

Ukweli unabaki palepale hata kama zito leo hii ataamua kuwa fisadi kama wengine wote, Hakuna mnaloweza kumfanya!!! mtaishia matusi tu na kejeli..hii ndiyo hula yenu

Kwa sisi wengine ambao tunashindwa kuvutwa na upepo naweza kusemakama Zito ana tatizo basi ni tatizo la chama chake choote

Hii habari Citizen wanasema wameitoa ndani ya chadema!! what a shame! ina maana ndani ya chadema kuna vitu viwili

1. Kuna uchafu unaendela kiasi cha kuwa hata zito akiufanya wengine hawawezi kumuadabisha kwani nao wanayoyao
2. Kama CDM haiwezi kumchukulia hatua basi ni dhaifu sana, kama wanaogopa kuwa wakimfukuza Zito watakipasua chama basi ni sawasawa na Pinda alivyosema tukikamata mafisadi nchi itatikisika! I insist there is a problem somewhere!

Haya ni mswali magumu ya kichama, ukija kiserikali

1. Je leo naweza kumpigia simu JK na akanipa cheo ninachokitaka?? Kama Zito aliomba na kukiwa hamna chance ya chadema kupata nachanganyikiwa ,aidha Zito anaihitaji kusifiwa! na kama anahitaji kulaumiwa basi ppoint za hapo juu apply!
2. Kama Zito alimpigia simu JK AIDHA na tunavyojua ni serikali imeshindwa kabisa hivyo Zito anaingia kama expert! serikali imeonyesha udhaifu na bila akili na msaada wa Zito Ngeleja chali!

Au wengine tungeweza ku-view hili swala kuwa SI MARA YA KWANZA KWA ZITO KUJITOKEZA KUONYESHA ASPIRATION FULANI KATIKA VITU FULANI SI MARA YA KWANZA

1. Zito alikuwa mtu pekee kuzungumzia swala la Dowans nyakati zile ambazo hakuna aliyeweza kusema chochote kile mpaka kiongozi wa nchi! aliyosema wote tuliyasikia, dowans ile , leo tunajua status, na hakuna siri! Kwangu mimi Zito is an hero...Yes kama mjasiriamali basi nacheka sana kuwa kumbe JK akipigiwa simu tu anatoa cheo?? This made my day! kesho napiga simu kutaka uwaziri mkuu! Pinda hawezi. Kipindi kile neno la rais lilitakiwa sana na sentensi au tamko la ZITO LILIONEKANA KAMA NDIYE RAIS...historically noted! na wengi mnafanya kosa hili tena na tena!

2. Hata sasa udhaifu wa cabinet na baadhi ya watenda kazi wa serikali hamna kitu ni zero na wakitokea akina Janaury makamba na akina Zito wakaonyesha wanaweza WANAPEWA TU, kwani leo hii JK akamteua say MKJJ kuwa bosi wa NSSF nani atabisha?? au atakuwa kanunuliwa, hatuna tabia ya wakenya ya kujiuza au KUUZA CV na ability zetu, kila siku mtabaki kusema yule analinda mafisadi!



Mwisho though is painfully to say this CHADEMA losed his status

1.Wasingerudi bungeni mpaka leo hii mpaka kieleweke swala la aktiba ambao leo hii ...kimya!
2.wangekomaa kutomtambua JK kuwa rais wa nchi hii

Sasa matumbo ya njaa ya hawa wabunge wa chadema ndiyo yanasababisha haya yoote, ndiyo wale wapi? hamjaona juzi wamepewa mil.90 na wamekaa kimya, mnataka tuwanyoshee vidole wachache tu!!!

Haya endeleeni kumtukana Zito lakini msisahau Hoja, kama hoja ni kupiga simu na kupata cheo...na sio kuwa JK alimbembeleza Zito then we are not judging this fairly!

Please Zito whereever u are if this information is true, receive my warm congrats, Thank God you have exposed JK once again!. Naomba namba ya JK nataka cheo fulani!!
Jamani ... ameamka nao huyu nini? mbona unaandika utumbo mtupu?
 
Mr. I always like to think independently,

je asipokuja JF utamfanya nini? n je maswali uliyouliza hatuwezi kupata majibu kwingineko? kama taarifa hii hakuitoa zito, kwa nini tupate majibu mengine kwa zito?

Swala la Zito ni very complicated ndani ya chama chake na nachelea kusema tumelitengeneza wenywewe.

Ukweli unabaki palepale hata kama zito leo hii ataamua kuwa fisadi kama wengine wote, Hakuna mnaloweza kumfanya!!! mtaishia matusi tu na kejeli..hii ndiyo hula yenu

Kwa sisi wengine ambao tunashindwa kuvutwa na upepo naweza kusemakama Zito ana tatizo basi ni tatizo la chama chake choote

Hii habari Citizen wanasema wameitoa ndani ya chadema!! what a shame! ina maana ndani ya chadema kuna vitu viwili

1. Kuna uchafu unaendela kiasi cha kuwa hata zito akiufanya wengine hawawezi kumuadabisha kwani nao wanayoyao
2. Kama CDM haiwezi kumchukulia hatua basi ni dhaifu sana, kama wanaogopa kuwa wakimfukuza Zito watakipasua chama basi ni sawasawa na Pinda alivyosema tukikamata mafisadi nchi itatikisika! I insist there is a problem somewhere!

Haya ni mswali magumu ya kichama, ukija kiserikali

1. Je leo naweza kumpigia simu JK na akanipa cheo ninachokitaka?? Kama Zito aliomba na kukiwa hamna chance ya chadema kupata nachanganyikiwa ,aidha Zito anaihitaji kusifiwa! na kama anahitaji kulaumiwa basi ppoint za hapo juu apply!
2. Kama Zito alimpigia simu JK AIDHA na tunavyojua ni serikali imeshindwa kabisa hivyo Zito anaingia kama expert! serikali imeonyesha udhaifu na bila akili na msaada wa Zito Ngeleja chali!

Au wengine tungeweza ku-view hili swala kuwa SI MARA YA KWANZA KWA ZITO KUJITOKEZA KUONYESHA ASPIRATION FULANI KATIKA VITU FULANI SI MARA YA KWANZA

1. Zito alikuwa mtu pekee kuzungumzia swala la Dowans nyakati zile ambazo hakuna aliyeweza kusema chochote kile mpaka kiongozi wa nchi! aliyosema wote tuliyasikia, dowans ile , leo tunajua status, na hakuna siri! Kwangu mimi Zito is an hero...Yes kama mjasiriamali basi nacheka sana kuwa kumbe JK akipigiwa simu tu anatoa cheo?? This made my day! kesho napiga simu kutaka uwaziri mkuu! Pinda hawezi. Kipindi kile neno la rais lilitakiwa sana na sentensi au tamko la ZITO LILIONEKANA KAMA NDIYE RAIS...historically noted! na wengi mnafanya kosa hili tena na tena!

2. Hata sasa udhaifu wa cabinet na baadhi ya watenda kazi wa serikali hamna kitu ni zero na wakitokea akina Janaury makamba na akina Zito wakaonyesha wanaweza WANAPEWA TU, kwani leo hii JK akamteua say MKJJ kuwa bosi wa NSSF nani atabisha?? au atakuwa kanunuliwa, hatuna tabia ya wakenya ya kujiuza au KUUZA CV na ability zetu, kila siku mtabaki kusema yule analinda mafisadi!



Mwisho though is painfully to say this CHADEMA losed his status

1.Wasingerudi bungeni mpaka leo hii mpaka kieleweke swala la aktiba ambao leo hii ...kimya!
2.wangekomaa kutomtambua JK kuwa rais wa nchi hii

Sasa matumbo ya njaa ya hawa wabunge wa chadema ndiyo yanasababisha haya yoote, ndiyo wale wapi? hamjaona juzi wamepewa mil.90 na wamekaa kimya, mnataka tuwanyoshee vidole wachache tu!!!

Haya endeleeni kumtukana Zito lakini msisahau Hoja, kama hoja ni kupiga simu na kupata cheo...na sio kuwa JK alimbembeleza Zito then we are not judging this fairly!

Please Zito whereever u are if this information is true, receive my warm congrats, Thank God you have exposed JK once again!. Naomba namba ya JK nataka cheo fulani!!
You talk too much you end up with nothing.
 
Jamani ... ameamka nao huyu nini? mbona unaandika utumbo mtupu?
Huyu jamaa huwa kama anakurupuka vile mara nyingi huwa haeleweki anauliza anajijibu anauliza tena anajicheka LOL!! ni kama limbukeni fulani mimi huwa namuona kama yuko Obsessed na CDM he can't think independently ujio wa CDM umemchanganya sana hakupenda wala kutegemea CDM itakuwa hivi.
 
Nyie watu kosa la zitto na cdm liko wapi? Mmeshaambiwa kulikuwa na njama ili cdm isipate kamati mojawapo. Jk kaokoa jahazi. Tatizo liko wapi?
 
Tuliambiwa tusimpende kiongozi kwa sura yake hatukusikia, haya sasa ndiyo matokeo yake. Hasikii wala haambiwi yeye na washikaji zake habadiliki hata tufanyaje.
 
Back
Top Bottom