Pouwa mukuu.
Tehe tehe tehePouwa mukuu.
Conte na Konte zimekuja na Yokohama mpya. Lakini anafanya umafia wa kiitaliano, wengine wanamtumbua taratibu, polepole.
Conte anasema ze blauz ni kubwa, ukubwa wake ni sawa na katuni ya bolodoza iliyochorwa kwenye karatasi. msimu huu pia ni wa kuuguza majeraha na maumivu kwa Mentor, Enzo, Nando. Root na Ntuzu. Furaha kwa Nonda et al.
Nonda, saturday i battle with Hull city# u'r warmly welcomed to see DAVID LUIZ MOREIRA MARINHO.Pouwa mukuu.
Conte na Konte zimekuja na Yokohama mpya. Lakini anafanya umafia wa kiitaliano, wengine wanamtumbua taratibu, polepole.
Conte anasema ze blauz ni kubwa, ukubwa wake ni sawa na katuni ya bolodoza iliyochorwa kwenye karatasi. msimu huu pia ni wa kuuguza majeraha na maumivu kwa Mentor, Enzo, Nando. Root na Ntuzu. Furaha kwa Nonda et al.
Nonda mi nipo sn tu lkn napita kimya kimya maana moto wetu ni kazi tu sasa ile mambo ya kushinda mitandaona utakula vumbi hakuna pesa za deal siku hiziNtuzu umefufuka bandugu? Nimekuona unapitia kurasa.
Ulikuwa Bukoba kukusanya michango kutoka kwa wahanga wa tetemeko au ulifika kuwafariji? Ulipanda punda au ndege-pangaboi?
Nimegundua wewe ndio kati ya wale waliokuwa wakipata fedha za bure, sasa kaizari amezizuia na zile kidogo ulizihifadhi pia anazitaka ndio sababu sasa hapana kazi tu. Nimekuelewa, chapa kazi, wenzako wanaichapa Chelsea.Nonda mi nipo sn tu lkn napita kimya kimya maana moto wetu ni kazi tu sasa ile mambo ya kushinda mitandaona utakula vumbi hakuna pesa za deal siku hizi
Nando, Taayarisha kitambaa cha kufutia machozi. Titakutumbua hiyo jumamosi. wiki 3 sasa tunachezea kichapo, wiki hii tunageuza kibao. I have only bad news for you! LoLNonda, saturday i battle with Hull city# u'r warmly welcomed to see DAVID LUIZ MOREIRA MARINHO.
Tehe tehe tehe alafu wewe katoto tabia ya kufata wakubwa zako mpk uani umeanza lini?huna lolote ushaona Yokobus haina soko na inakupotezea muda na timu yenyewe umeanza kuijua 2010
Mkuu hasira zangu zote nazimalizia kwa hawa watoto(hull city) baada ya hapo napeleka jeshi kwa mwimba taarabu mourinho on next weekend#HABARI MNAZO#Nando, Taayarisha kitambaa cha kufutia machozi. Titakutumbua hiyo jumamosi. wiki 3 sasa tunachezea kichapo, wiki hii tunageuza kibao. I have only bad news for you! LoL
We Nonda yani bado tu uko na hayo?Nimegundua wewe ndio kati ya wale waliokuwa wakipata fedha za bure, sasa kaizari amezizuia na zile kidogo ulizihifadhi pia anazitaka ndio sababu sasa hapana kazi tu. Nimekuelewa, chapa kazi, wenzako wanaichapa Chelsea.
Mkuu hasira zangu zote nazimalizia kwa hawa watoto(hull city) baada ya hapo napeleka jeshi kwa mwimba taarabu mourinho on next weekend#HABARI MNAZO#
Umepata Mungu mpya? Yule wa uzao wa (mazao ya) mungu umemwachia Pope Francis?
Nimetamani kulia, nimejishitukia nacheka, tena kwa sauti ya he heee, khe kheee kheeeee.Mkuu hasira zangu zote nazimalizia kwa hawa watoto(hull city) baada ya hapo napeleka jeshi kwa mwimba taarabu mourinho on next weekend#HABARI MNAZO#
Tehe tehe tehe Nonda Mazazi ya Mungu huyawezi kaka ata chitabu chenyu cha kili kua Mungu ana Mwana.....Umepata Mungu mpya? Yule wa uzao wa (mazao ya) mungu umemwachia Pope Francis?
Kweli kaizari amefanya tuisome namba, tumeisoma namba sasa tunamkumbuka Mungu.
haya ndio mabadiliko tuyatakayo!
Mods wameninyima kibali cha kuingia jukwaa la dini, wanaogopa kuchilimishwa na kuchilimushwa.
Wahindi walitangaza "mungu" wao ameibiwa na watatoa zawadi iliyonona kwa atakayetoa taarifa zitakazopelekea kupatikana kwake, haya deal hilo la kupata pesa.Tehe tehe tehe Nonda Mazazi ya Mungu huyawezi kaka ata chitabu chenyu cha kili kua Mungu ana Mwana.....
Tehe tehe
Bora tufungwe na timu zote lkn sio kufungwa na Baba Mou....Wahindi walitangaza "mungu" wao ameibiwa na watatoa zawadi iliyonona kwa atakayetoa taarifa zitakazopelekea kupatikana kwake, haya deal hilo la kupata pesa.
Teh teh. Wacha hizo bana. Mou anawaleta Pogba,Mata na Ibrahamovic kuja kulikarabati Daraja bovu.
Kaeni mkao wa kulia machozi ya damu.
Wewe utakuwa umekisoma kitabu chetu na chenyu kinyume nyume. Ndio sababu ulipata ufahamu wa "kichina"/mystery kama mnavyouita utatu.Tehe tehe tehe Nonda Mazazi ya Mungu huyawezi kaka ata chitabu chenyu cha kili kua Mungu ana Mwana.....
Tehe tehe
Kuna kijana amenitonya kuwa wewe ni mjukuu wa kamanda 0. Intelijensia ya vitu vya ncha kali.Bora tufungwe na timu zote lkn sio kufungwa na Baba Mou....
Ila no zako za simu mbona hua haunipi? Au unaogopa kwenda Mabwe?
tehe tehe tehe