Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Nani ana hasira nyie tu. These things happen...!Watu wana hasira humu....huu mchezo hauhitaji hasira wakubwa...
Nani ana hasira nyie tu. These things happen...!Watu wana hasira humu....huu mchezo hauhitaji hasira wakubwa...
What happened bro?Nani ana hasira nyie tu. These things happen...!
Kufungwa ni sehemu ya mchezo. Hakuna haja ya hasira. Kombe bado likiwa na rangi ya bluuWatu wana hasira humu....huu mchezo hauhitaji hasira wakubwa...
Itakua umedhamiria Ntuzu,Ntunzu
Acha kukata tamaa kirahisi hivyo!Timu haioneshi mwelekeo wowote wa Kushinda, kwani kila siku timu inatoka nyuma kutafuta sare au kushinda
Ni hatari sana,
Msiba hauzoeleki huwa unavumilika tu hawa wakija kwetu utadhani ndio kwao kuanzia breakfast mpaka. ..wapo tu.Hatari sana,
hivi yule mpayukaji kule "nyumbani" mbona huku kwake simuoni akidomoka kama anavofanya kule kwetu..!!
BACK TANGANYIKA
Watu wanashindwa kukujibu maana wanajua wewe ni chizi, yaani kila mechi ya chelsea inafanyika darajani?NIPENI MATOKEO HAPO DARAJANI MAANA NIKO NYUMBANI NIMELALA BAADA YA TIMU YANGU KUMDUNGA MTU 4 KWA 1
Msiba hauzoeleki huwa unavumilika tu hawa wakija kwetu utadhani ndio kwao kuanzia breakfast mpaka. ..wapo tu.
I