Kurudi kwa Luiz kumenifurahisha kama nimeshinda "gold medal".Tatizo lilikua mabeki wawili tu na zouma akipona tatizo linakwisha kabisa
Ndio maana wamemsign marcos alonso ndugu huyu ni back namba 2 na 3Hivi chelsea ilikuwa inahitaji beki wa kulia au kushoto ?? . huu ujio wa Alonso unanishtua kwa sababu tulikuwa tunahitaji mbadala wa ivanovic,
Duuu kwan fabr kaambiwa ahame kweli mkuuNimemkubali conte kwa kusuka kikosi imara cha ushindi. Ila imeniuma kumwambia fab ahame duh.
kwani ivanovic si yupo au yeye alikuwa upande ganiChelsea kwa muda mrefu imekuwa ikihangaika kumpata beki wa kushoto.
Ujio wa Alonso utamrudisha Azpilicueta kwenye nafasi yake ya beki wa kulia.
Ivanovic anacheza beki ya kulia, Azpilicueta naye ana mudu zaidi upande huo huo wa kulia, lakini alilazimika kucheza beki ya kushoto. Alonso anamudu zaidi beki ya kushoto, hivyo Azp. atarudi kwenye nafasi yake na Ivanovic itabidi asubirikwani ivanovic si yupo au yeye alikuwa upande gani
Ndio mkuu kaambiwa atafute timu kipindi hichi hazard karudi kwenye formDuuu kwan fabr kaambiwa ahame kweli mkuu