wakina Nani tena waondoke bure?
conte ameshasema kuwa club inamhitaji mchezaji aina ya Mikel...kwahiyo ni kwamba hawana mpango wa kumuuza1.Mikel Obi
2.Ivanovic
2.Remmy
halaf mikel lazima atakua bonge la mchawi, hamna kocha anaetakaga kumuuza.
mchezaji ana tako kama Gigy.ila binafsi baba na ivonovic nawaona kama surplus kwenye timu...ivonovic ndiyo takataka ingawa bado tunaukumbuka mchango wake
HeheheHutaki watu weusi ndg wewe ni mwekundu
Kabisaaa mkuu,usifurahie mazuri tu hata mabaya unatakiwa kuvumilia.Mpambanaji wa kweli hapaswi kukata tamaa chelsea ni yetu iwe katika hali mbaya au nzuri. Tunapaswa kuipenda tu.
Baba Rahman kashindwa kufit pale watafute mwingne,Ivanovic sijui ni umri? Anatakiwa asicheze mechi nyingi awe anapumzishwa. Kuna madogo wengi wanatakiwa wapewe nafasi, Mazga, Thraore,Atsu,wanatakiwa wapewe nafasi waoneshe maana wako vizuri.ila binafsi baba na ivonovic nawaona kama surplus kwenye timu...ivonovic ndiyo takataka ingawa bado tunaukumbuka mchango wake
Anakula sana maparachichi.mchezaji ana tako kama Gigy.
Ameumia bega..wiki tatu nje!Baba Rahman kashindwa kufit pale watafute mwingne,Ivanovic sijui ni umri? Anatakiwa asicheze mechi nyingi awe anapumzishwa. Kuna madogo wengi wanatakiwa wapewe nafasi, Mazga, Thraore,Atsu,wanatakiwa wapewe nafasi waoneshe maana wako vizuri.
Nani huyo kaumia bega tens?Ameumia bega..wiki tatu nje!
Nani huyo kaumia bega tena?