Kurt Zouma : Recovering...

3661F30400000578-0-image-a-18_1468842589463.jpg


3661F0DF00000578-0-image-a-17_1468842586442.jpg
 
Remmy haondoki...kaongea jana kwenye Chelsea TV kuwa mwaka huu hategemei kupata majeruh...yupo tayari jupigania namba
 
ila binafsi baba na ivonovic nawaona kama surplus kwenye timu...ivonovic ndiyo takataka ingawa bado tunaukumbuka mchango wake
Baba Rahman kashindwa kufit pale watafute mwingne,Ivanovic sijui ni umri? Anatakiwa asicheze mechi nyingi awe anapumzishwa. Kuna madogo wengi wanatakiwa wapewe nafasi, Mazga, Thraore,Atsu,wanatakiwa wapewe nafasi waoneshe maana wako vizuri.
 
Baba Rahman kashindwa kufit pale watafute mwingne,Ivanovic sijui ni umri? Anatakiwa asicheze mechi nyingi awe anapumzishwa. Kuna madogo wengi wanatakiwa wapewe nafasi, Mazga, Thraore,Atsu,wanatakiwa wapewe nafasi waoneshe maana wako vizuri.
Ameumia bega..wiki tatu nje!
 
Back
Top Bottom