The best I've ever had

Sawa Lizzy,

Ila ujue kuwa memory zetu zinaposoma taarifa, ama zinzaweza kuanzia kwenye zero (which very unusual) au somewhere else....

Kwa vijana wetu wa dot com, mstari wa zero ulishapitwa siku nyingi sana......Kwa hiyo sijui kama wengi watapata tafsiri kama hiyo yako!!

Babu ndio maana naamini ni muhimu kuwa na watu wanaojielewa, wanaotuelewa na sisi tukawaelewa. Sio unamwambia mtu "YOU ARE GOOD" alafu aanze kuuliza kwanini sio 'BEST'?X wangu alikua BETTER ndio maana yeye ameishia kuwa "GOOD"? Utata mtupu.
 
sipati raha ya kufanya chochote kwa ajili yako, maji nayaona machungu, chakula nakiona sumu!
 
Mapenzi bana...yana vituko sana.

Mtu anakuambia 'you are the best I've ever had'!

'Sijawahi kumpenda mwingine kama ninavyokupenda wewe'!

'Wewe kwangu ndo mwanzo mwisho'!

'You are my all and all'!

Hizo ni baadhi ya kauli tu ambazo hutumika katika mapenzi. Hebu wekeni zingine ambazo mmewahi kuzisikia ambazo watu huambiana wakiwa under the influence of hormones!

Lol........u mean da world to me, im lost witout you, umtamu zaid ya sukari guru!
 
ni rahisi kusahau kila kitu kinachotokea kwenye maisha yangu, lakini ni vigumu sana kukusahau wewe!
 
nimeucharanga charanga moyo wake vipande milioni moja.

Yeye ni ndege aliye angani anatafuta pa kutua, na ameamua kutua kwangu.

Yeye ni mateka aliye jangwani, mie ndie barafu na mwokozi wa moyo wake

my pen is blue, my love is new. Hii sijawahi ielewa ilimaanisha nini?

kazi ipo
 
Beibe u are my everything,my heart my life and my soul.I cant live without u hny,yani navokupenda hata sijui imekuwaje sekunde bila wewe ni kama miaka hny! Sitakuja kukucheat hny mwaaaaaah!
 
Beibe u are my everything,my heart my life and my soul.I cant live without u hny,yani navokupenda hata sijui imekuwaje sekunde bila wewe ni kama miaka hny! Sitakuja kukucheat hny mwaaaaaah!

Na wewe kwa ufwala wako umetegesha bichwa unasikiliza??? Hovyo.........
 
Wewe ni mtu wa kwanza kupenda kwa dhati hivi, ukinitenda sitakuja penda tena!


Sikujua kama kupenda ni raha hivi... Wallah' wewe huna mfanowe!

Mh! AshaDii kwa maneno yako haya waallaaaaah unaniteka kabisa! Teh teh teh! Halafu sijui kwanini wanaume hawashtuki na haya maneno!! Maana waweza ambiwa na zaidi ya mwanamke mmoja na bado mnaachana, tena kwa kejeli za ajabu ajabu!
 
Eu te amo,eu preciso te dizer.tudo o dia toda anoite o meu sonho e você,eu te amo e paixão que não tem fim,dou a vida por um beijo,quero ter você para mim. Mtanisamehe sijawahi kutamkiwa maneno matamu ya kiswahili. Nalog off
 
Ni poa tu maana ndio mtu anavyo jisikia kwa wakati ul
Ila kuna maneno mengine yanaweza kumtia mashaka muhusika,...kama kuna wimbo nausikiaga mtu anamwambia mwenzake "these arms will worship you" lazima utaonekana unaigiza.
 
Ni poa tu maana ndio mtu anavyo jisikia kwa wakati ul
Ila kuna maneno mengine yanaweza kumtia mashaka muhusika,...kama kuna wimbo nausikiaga mtu anamwambia mwenzake "these arms will worship you" lazima utaonekana unaigiza.

Soraya wewe ushaambiwa nini?
 
Eu te amo,eu preciso te dizer.tudo o dia toda anoite o meu sonho e você,eu te amo e paixão que não tem fim,dou a vida por um beijo,quero ter você para mim. Mtanisamehe sijawahi kutamkiwa maneno matamu ya kiswahili. Nalog off

makubwa
 
Hizo ni baadhi ya kauli tu ambazo hutumika katika mapenzi. Hebu wekeni zingine ambazo mmewahi kuzisikia ambazo watu huambiana wakiwa under the influence of hormones!

"Nakupenda sana kuliko hata wazazi wangu"
 
Tht, am the most treasured possession she has........ Quet flattering, isn't it?? Haa
 
Back
Top Bottom