Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,801
- 59,274
Sawa Lizzy,
Ila ujue kuwa memory zetu zinaposoma taarifa, ama zinzaweza kuanzia kwenye zero (which very unusual) au somewhere else....
Kwa vijana wetu wa dot com, mstari wa zero ulishapitwa siku nyingi sana......Kwa hiyo sijui kama wengi watapata tafsiri kama hiyo yako!!
Babu ndio maana naamini ni muhimu kuwa na watu wanaojielewa, wanaotuelewa na sisi tukawaelewa. Sio unamwambia mtu "YOU ARE GOOD" alafu aanze kuuliza kwanini sio 'BEST'?X wangu alikua BETTER ndio maana yeye ameishia kuwa "GOOD"? Utata mtupu.