Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Kwa ujumla hawa jamaa wa TTCL wamezidiwa na wateja na sasa wanataka kuwapunguza kwa nguvu ila ni ujinga kupandisha bei, cha msingi ni kupata wapinzani wao ili wawachukulie biashara yote
WAPINZANI WAO WAPO NAO NI ZANTEL , UKIENDA MJINI KULE KATI KATI KUNA RAHA , CTV , ACEX NA WENGINE SEMA TU WENGINE WANAZIDIWA KATIKA MIUNDO MBINU NA VITU VINGINE AMBAVYO VIKO TTCL PEKE YAKE