Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Wewe hiyo Norton Anti-Virus unaitumia wapi?Nyumbani au offisini?jaribu kutoeleweshe Vizuri mimi nilipoinunuwa Computer yangu hiyo niliikuta ndani ya Computer yangu Norton Anti-Virus ndiyo iliyokuwa Anti-Virus yangu ya kwanza kuitumia nikaitumia Takriban mwaka mzima. Matokeo yake nikagunduwa inaifanya Computer yangu kuenda Taratibu nikaitowa na kuiweka AVG.
AVG nayo nikaitumia karibu miaka 3 Matokeo yake yakawa kama hiyo Norton Anti-Virus. AVG inalinda vizuri lakini nayo inakwenda taratibu kama kinyonga AVG Nikaitowa pia. Nikaweka Kaspersky Anti-Virus nikatumia hiyo Kaspersky Anti-Virus karibu mwaka mzima ikawa inafanya vizuri na wakati Mwengine inakuwa inafanya manyago hailindi vizuri haswa Trojans.
Nikaitowa hiyo Kasepersky Anti-Virus nikaweka NOD 32 Anti-Virus, nayo NOD 32 Anti-Virus nikaitumia karibu miaka 2 na nusu bila matatizo ila baada ya hapo ikawa inaharibu Computer yangu ikawa inaharibika hiyo NOD32 Anti-Virus kwa hili tatizo (NOD32 kernel problem). NOD32 Anti-Virus nikaitowa na kuiweka hiyo Avira Anti-Virus na mpaka hii leo huu sasa unafika mwaka 2 sina matatizo na mambo ya Virus nashukuru Avira anti-Virus inanisaidia sana kulinda Computer yangu.
Sasa wewe unayeisifia Norton Anti-Virus je umeshaifanyia Uchunguzi? Je hiyo NortonAnti-Virus inakulinda kweli? Soma hapa kuhusu Norton 2010 is it a Memory Hog? bonyeza hapa utapata jibu it is that Norton AntiVirus hog memory - Google Search
Kama unajuwa kiingereza utapata jibu kuhusu hiyo Anti-Virus yako Norton inavyokula Memory ndani ya Computer yako.
Chanzo http://answers.yahoo.com/question/in...7181458AAAuMll
Mkuu nadhani ujanielewa,sijakubishia maelezo yako kwamba Norton haifai,ndio maana nikasema siku nitakapohitaji kununua anti virus tena nitachukua the best iliokuwa suggested hapa.
Na kitu kingine ndio natumia niko ok nayo,sasa naona mkuu umepata jazba kama sales person wa kampuni fulani unajaribu kuuza product yako.
Maelezo yako ya uhakika mkuu yamekwenda shule asante tena kwa kutuelewesha hipi inafaa.