Arab Spring Revolution haikutokea Libya na Misri tu, kuna nchi umeziacha - Tunisia, Algeria, Morocco, Yemen na baadhi ya nchi za ghuba - umeziacha kwa makusudi au kwa bahati mbaya? Lakini hata hizo ulizozitaja, ni kuwa baada ya revolution, lazima nchi ipitie katika evolution na hili si jambo la siku moja au mbili. Ni mpaka pale wananchi wote, taifa zima, liwe limeimarisha misingi ya demokrasia, taasisi za kidemokrasia pamoja na utawala wa sheria. Na tusichanganye demokrasia na domokrasia (blah blah blah tupu bila vitendo na matokeo).Nini tunajifunza kutokana na kinachoendelea kwenye baadhi ya nchi za kiarabu hasa, Libya, Misri nk. Kabla ya mabadiliko ya tawala zao eg. Gadafi na kinachoendelea baada ya hayo mabadiliko...
Is the change we are seing for better?
Huwezi kujifunza kutoka kwa Libya na Egypt.
Funzo kwa watanzania linatakiwa litoke kwa nchi za Afrika ambako angalau tayari kulikuwa na demokrasia na siyo kutoka kwa total dictatorship ya waarabu ambao walikuwa hawajui hata vyama vingi ni nini. Ni sawa na uanze kutuletea stori za Iraq, Libya na Egypt, halafu useme tunajifunza nini?
Mbona huulizi tunajifunza nini kutoka kwenye uchaguzi wa juzi wa Senegal? Kama una nia njema ya kuuliza swali lako weka kitu ambacho kina mazingira sawa na Tanzania. Nyinyi ndio ambao mnakimbilia kwenda kujifunza mambo ya US wakati mambo ya US na Tanzania, ni sawa na giza na mwanga wala havikaribiani na matokeo yake kuliwa kila kukicha.
Vipi mmpona na ule ugonjwa wa "Chadema phobia"?
Tumejifunza kuingoa sisiem abao hawana tofauti na watawala wa kiaarabu, mf nepotism
Changes we are seeing is much better than being parmanently enslaved.
Mwaka 1995, mliwatisha Watanzania kwa kutumia mifano ya Rwanda na sasa mnapanga kutumia mifano ya Uarabuni! Nape, you are so transparent, cheap and empty that anybody can read you like the back of one's hand, pole sana...you can run but rest assured that people like you wont find a place to hide, no, not in our new Land of hope, Tanzania mpya come 2015!
Mhe utaona jinsi gani Mkulu wa Boma asivyo na huruma na wananchi wake, badala ya kupiga mahesabu ya kupunguza matumizi ya serikali yeye anaongeza gharama!!!! Hata kama si mmtaalamu wa uchumi unapoongeza baraza la mawaziri kutoka 50 hadi kufikia 55 hizo gharama unafikiri anazibeba nani???? Kwa mtu mwenye huruma angefikiria kuwa to inflate the cabinet is to over burden the Tanzania tax payers!!! Ukiangalia matumizi ya serikali ni makubwa kuliko matumizi ya kimaendeleo!!! Wakubwa kulithisha utawala kwa watoto wao!!! HAYO NDIYO YAMELETA SHIDA YA VURUGU ZA KIMAGEUZI MIDLE EAST!!Nini tunajifunza kutokana na kinachoendelea kwenye baadhi ya nchi za kiarabu hasa, Libya, Misri nk. Kabla ya mabadiliko ya tawala zao eg. Gadafi na kinachoendelea baada ya hayo mabadiliko...
Is the change we are seing for better?
Mbona kuna watu wengi wamekujibu unataka nini zaidi au unataka ujibiwe unavyotaka? binafsi nimekusoma ulitegemea kupata majibu gani ambayo yange kufurahisha lakini elewa tu mabadiriko yanakuja na hakuna wa kuya zuia...Inaonyesha jinsi ulivyohangaishwa na hesabu za kulinganisha wakati unasoma... Wapi katika maneno yangu au swali langu nimeongea habari ya mlinganisho??!!!! Nimeuliza tunajifunza nini, wewe unakurupuka na mlinganisho!!!!!..?!!
Msingi wa hoja yangu hapa ni KUWA TUNAJIFUNZA NINI KUTOKANA NA KILICHO NA KINACHOENDELEA KATIKA NCHI ZA KIARABU. NIKAONYESHA NJIA KWA KUULIZA JE MABADILIKO YALE YAMEZISAIDIA NCHI HIZO KWA MAANA YA KUBORESHA MAISHA YAO? Kama ndio how? Na kama hapana yamekosewa wapi!
Mwizi hudhani wote wezi!!! Ndo maana mmekua mkiwatisha wapiga kura na kutukna kila anayeleta ukweli JF kwasababu mnaamini katika kutishana?!! Pole sana mtu mzima hatishiwi nyau asilani.
Kumbe lengo ni kutafuta wanafunzi. Wewe ni mwalimu?Aaah Deo unaonekana we mwanafunzi mzuri..
Nini tunajifunza kutokana na kinachoendelea kwenye baadhi ya nchi za kiarabu hasa, Libya, Misri nk. Kabla ya mabadiliko ya tawala zao eg. Gadafi na kinachoendelea baada ya hayo mabadiliko...
Is the change we are seing for better?
Nini tunajifunza kutokana na kinachoendelea kwenye baadhi ya nchi za kiarabu hasa, Libya, Misri nk. Kabla ya mabadiliko ya tawala zao eg. Gadafi na kinachoendelea baada ya hayo mabadiliko...
Is the change we are seing for better?
Somo tulilojifunza tutalitumia 2015 Tanzania.Mwaka 1995, mliwatisha Watanzania kwa kutumia mifano ya Rwanda na sasa mnapanga kutumia mifano ya Uarabuni! Nape, you are so transparent, cheap and empty that anybody can read you like the back of one's hand, pole sana...you can run but rest assured that people like you wont find a place to hide, no, not in our new Land of hope, Tanzania mpya come 2015!
Wewe Nape propoganda zako ni zile za old stone age. Nimesoma gazeti la mwananchi wakikunukuu ukisema eti Mkapa kupanda kizimbani kutoa ushahidi inaonyesha hakuna aliye juu ya sheria. Hivi ni jambo la kweli hilo? Angekuwa amepandishwa kizimbani kwa zile tuhumu za ufisadi zinazomkabili ndio ungeweza kujitapa, lakini kutoa ushahidi?Kwanza nilichokiuliza hapa hakina uhusiano na hoja zako. NIMEULIZA TUNAJIFUNZA NINI KWA KILICHOTOKEA NA KINACHOENDELEA KUTOKEA KATIKA NCHI ZA KIARABU. Sasa mashairi ya chungwa na chenza hapa yanatoka wapi? Kuna wengine tuko nao humu najiuliza HIVI IMETOKEAJE MIE NA WAO TUKO JF PAMOJA??!!!!!
Nini tunajifunza kutokana na kinachoendelea kwenye baadhi ya nchi za kiarabu hasa, Libya, Misri nk. Kabla ya mabadiliko ya tawala zao eg. Gadafi na kinachoendelea baada ya hayo mabadiliko...
Is the change we are seing for better?