The apprentice Africa

Lucas

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,457
1,108
Habari wadau, samahani naomba mnisaidie kwa hili kwa wanaojua ama kama kuna aliyewahi kushiriki.

Mwaka 2008, kulikuwa na show moja ya TV apprentice Africa, niliipenda sana hiyo show na nilitamani pia kushiriki lakini sijawahi kusikia wala kuona nini kiliendelea baada ya 2008. ningependa kujua namna ya kushiriki na what is going on with, nilipenda the show was full of entrepreneurial skills, naomba mwenye kujua anijuze nitashukuru sana


Watanzania tunahitaji vipindi vya namna ile kwa wingi sana
 
I think that was one of the very educative programs nimeshaziona. I saw it in tbc one time. Nadhani tangu ile haikufanyika tena... sijui what happened.
 
Some infos from Wiki:
The show was hosted by Mr. Biodun Shobanjo, an advertising magnate, co-founder of Insight Communications and CEO of Troyka Group. It gathered 18 contestants from across six African countries: Nigeria, Ghana, Uganda,Kenya, Cameroon and Guinea. The show was aired in Nigeria on (Nigerian Television Authority), Silverbird TV, Super Screen, and MBI Television; Ghana on (TV3); Kenya on (KTN); Uganda on (WBS); and Tanzania (TBC1); premiered in February 2008 and ended in June 2008.
The premier edition, shot in the Nigerian commercial capital Lagos, had eighteen episodes where contestants competed in seventeen business tasks requiring street smarts and corporate intelligence to conquer. Contestants were arranged into two groups and in each episode, the winning team was rewarded while the losing team meet the CEO and his associates in the boardroom to explain why they lost. The Project Manager for that task would choose two teammates perceived to be the reason for the lost or the weakest link in the team, one of whom would then be fired.
Isaac Dankyi-Koranteng, a 31 year old Sales and Marketing Manager from Ghana, won the first season. He was hired by Biodun Shobanjo.
 
umekumbusha mbali sana, niliipenda sana ile program na nilikuwa sikosi kuangalia kila j'pili
 
I think that was one of the very educative programs nimeshaziona. I saw it in tbc one time. Nadhani tangu ile haikufanyika tena... sijui what happened.

Nilipoiona nilitamani sana kuiwakilisha nchi yangu katika next competition! lakini oooh!
 
Na mwaka huu itarushwa pia, nimeona matangazo yake

wapi? usaili unafanyika vipi? kuna kiingilio? NINATAKA KUSHIRIKI HII KITU PLEASE NAOMBA ANGALAU HATA UNIONYESHE INAKOPATIKANA. NITASHUKURU SANA MKUU
 
wapi? usaili unafanyika vipi? kuna kiingilio? NINATAKA KUSHIRIKI HII KITU PLEASE NAOMBA ANGALAU HATA UNIONYESHE INAKOPATIKANA. NITASHUKURU SANA MKUU

ilikuwa ni program under zenith bank ya nigeria nadhani hapo unaweza ukapata info au TBC ambao ni warushaji wanaweza kutoa msaada
 
Back
Top Bottom