Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
Samahani mdondoaji hapa nilikuwa namjibu Zomba aliyesema CDM wanaweza pewa bank gurantee, serikali inatoa kwa shirika, hapa nilimjibu kwa vile alidhani CDM or anyone can invest without such capitalSerikali inaweza kuomba bank guarantee on your behalf kutoka kwenye Development bank kama IFC, EADB, ADB. Billioni 400 ni ndogo sana (vijisenti) kwa serikali ya Tanzania. Serikali imewasaidia kwa kiwango gani kutukwamua katika hilo janga kwasababu wananchi ndio tumemwajiri Rais wa Tanzania na serikali yake na ndio tunaowalipa mishahara yao kwa kutumia kodi zetu?