The 10 poorest countries in the World

Drc congo umaskin umesababishwa na mataifa ya ulaya kwa kutengeneza vta ila waibe dhahabu...tanzania ni rushwa na uongoz mbovu

We are not doing enough as a nation.GDP yetu iko chini sana na hatuwezi kupiga hatua bila kuangalia policies zetu upya.Purchasing power iko chini sana sana.Tuna population kubwa lakini imefukarishwa(impoverished).Purchasing power ya potential consumers iko chini ni lazima sera zetu zilenge kuathiri vipato vya households
 
What is GDP?
GDP Is the monetary value of all goods n services produced n consumed within a country in a given year
Tuna wawekezaji kbao wanaozalisha kwa manufaa yao binafsi,matajiri/mafisadi wachache na maskini wengi wasiomudu hata mlo mmoja kwa siku... N vzuri hatupo kwenye hiyo top 10 ila ni ujinga kujisifia kwa sababu hiyo
 
Halafu kuna wapuuzi hapa Jukwaani hawaoni jitihada zinazofanywa na serikali ya CCM.

Rejea kanuni za Uchumi (Economic Principles), GDP per Capita Income is not a good indicator of Economic and Social Well-being because sometimes High GDP can be an Inflationary Effect i.e. It can be a result of Inflation (High Prices and More money in Circulation). Kwa hiyo unaweza ukakuta nchi ina GDP per Capita ndogo lakini wananchi wake wana enjoy social and Economic well being nzuri zaidi! Funguka ndugu, usibabaishwe na data!
 
Rejea kanuni za Uchumi (Economic Principles), GDP per Capita Income is not a good indicator of Economic and Social Well-being because sometimes High GDP can be an Inflationary Effect i.e. It can be a result of Inflation (High Prices and More money in Circulation). Kwa hiyo unaweza ukakuta nchi ina GDP per Capita ndogo lakini wananchi wake wana enjoy social and Economic well being nzuri zaidi! Funguka ndugu, usibabaishwe na data!

Nchi inaweza kuwa na GDP kubwa kwa sababu ina mabilionea kumi, walioficha hela zao Uswizi, wanaopandisha GDP per capita kuwa $ 1000.

Ukiwatoa hao watu kumi na hela zao wanazoficha Uswizi GDP Per Capita inashuka mpaka $ 150.

People have to understand that GDP Per Capita is an average, and like all averages, it is prone to distortion. Unaweza kuambiwa the average US family has 2.5 children, now which family that you do know has 2.5 children?

I am not even talking about the fact that this indicator is designed for a country with a large percent of its economy in the formal and measured economy.

We have a good chunk of economic activities in poor countries that is not measured because we do not have formal systems, and we bypass the few formal systems we have, causing a vast under reporting of GDP.

Meli ya watu 200 inaripoti kuvusha watu 200 kila safari mwaka mzima, kumbe inavusha watu 1000 kila safari mwaka mzima. Ukitaka kupiga mahesabu ya kiserikali lazima uone uzalishaji wa meli ni mdogo kuliko hali halisi.

Kama hupo katika nchi yenye formal systems zinazofuatwa, GDP haikupi hali halisi ya uchumi.

Inanikumbusha story moja ya rais Mwinyi kuhusu rushwa, kuna jamaa mmoja (jamaa yake I believe) alikuwa anatafuta kazi kwa siku nyingi. Mwishowe akapata kazi serikalini, nafikiri alikuwa dereva, basi akafanya kazi kitambo, baadaye ikafika muda wa kwenda likizo.Lakini jamaa akawa anapiga vita kwenda likizo, wakubwa zake wakamshangaa sana huyu ina maana ana moyo sana na kazi au vipi? Baadaye wakaja kugundua kwamba ingawa alikuwa akilipwa mshahara mdogo sana, lakini alikuwa akifanya magendo yake yaliyomuongezea kipatao, na ndiyo maana alikuwa hataki kwenda likizo maana akienda likizo atakuwa hana nafasi ya kufanya magendo.

Sasa mtu kama huyo ana vitabu viwili, kimoja rasmi na kingine kisicho rasmi.

Ukiangalia GDP Per Capita kwa kitabu rasmi utamuona masikini sana.

Halafu ukienda kuangalia nyumba anayojenga na mshahara wake utashangaa mwenyewe, maana hesabu haziendani na mashahara, na mtu hana biashara yoyote.
 
[h=1]1. Democratic Republic of Congo: Annual Income $236[/h]


[h=1]2. Malawi: Annual Income $253[/h]


[h=1]3. Central African Republic: Annual Income $300[/h]


[h=1]4. Liberia: Annual Income $436[/h]


[h=1]5. Madagascar: Annual Income $500[/h]


[h=1]6. Eritrea: Annual Income $546[/h]
531-583x437.jpg



[h=1]7. Zimbabwe: Annual Income $589[/h]


[h=1]8. Burundi: Annual Income $625[/h]


[h=1]9. Niger: Annual Income $771[/h]



[h=2]10. Afghanistan: Annual Income $1,100[/h]

source: the richest.com
 
it is true life la Congo(d.r.c) zimbabwe huwezi ku compare na life la tanzanha coz tanzania uchumi wake unakua compare to those listed countries
 
Back
Top Bottom