The 10 poorest countries in the World

Mkuu huku wao wanagawana posho kwenye maandamano

Wakati wengine wanaogawana rasilimali zetu kwa visingizio vaya wawekezaji na emergency power supply huku nchi kila siku iko gizani! Sijui nyie akina ZeMarcopolo mna akili za sisimizi nini??
 
R. B nakubaliana na wewe kwa 100% Tz hatupo ktk top ten za pooriest country dunia, ni kwamba hata kwenye 0 hatupo kwahiyo tupo kwenye -ve something huko.
 
hizi tatwimu bana eti somalia ambako miaka kibao ilikua inaenda bila hata serikal wala shughuli yeyote ya uzalishaji nayo haimo.
Mleta mada amei-misplace, ukiingia kwenye source aliyoitoa, Somalia unaikuta kwenye # 5 na GDP $631.87
 
Wikipedia sio credible source mkuu.
Wikipedia wanatumia secondary data (from different sources), so wao kutokuwa credible kunategemeana na kule walikochukua!! Na ndio maana katika maandiko yote ya Wikipedia, lazima chini utakuta wameorodhesha a series of their sources.
 
Halafu kuna wapuuzi hapa Jukwaani hawaoni jitihada zinazofanywa na serikali ya CCM.

Na kuna wapuuzi hapa jukwaani, wanafurahia eti Tanzania haiko miongoni mwa nchi 10 maskini zaidi duniani wakati tulipaswa kuwa miongoni mwa nchi 100 tajiri zaidi duniani. Mawazo gani duni hayo!
 
#Bungeni Leo tunajadili Bajeti ya Wizara ya Kilimo. Waziri kaomba tshs 333bn tu Kwa ajili ya Wizara yenye kuhusisha zaidi ya 70% ya Watanzania. Bajeti ya Kilimo ni 1.8% tu ya Bajeti nzima ya Serikali. Tunajua kuwa Umasikini wa Watanzania upo vijijini na shughuli yao kubwa ni Kilimo. Hata hivyo tunawezaje kuondoa umasikini wakati sekta ya watu Masikini haijaliwi kabisa? Jana #IMF na #BenkiYaDunia wametoa Global Monitoring Report ambayo inaonyesha kuwa Tanzania Ni nchi ya pili kutoka mwisho kwa umasikini katika nchi za EAC, ikiishinda Burundi tu. Taarifa inasema 68% ya Watanzania wanaishi chini ya dola 1.25 Kwa siku chini ya Rwanda 61%, Kenya 43% na Uganda 38%. Ni dhahiri kwa bajeti za namna hii katika Kilimo umasikini, ufukara, udhalili wa maisha utaendelea kuwakumbatia Watanzania.

source ZITTO KABWE. Siku nyingne tumia upeo wako acha kucopy na kupaste.
 
Tanzania inazidi kupaa kwasababu sekta za uwekezaji zinzkuza pato la Serikali kuliko sekta zinzogusa maisha ya waliowengi. mfn kilimo na Afya.
 
Halafu kuna wapuuzi hapa Jukwaani hawaoni jitihada zinazofanywa na serikali ya CCM.

UMOJA wa Mataifa (UN), umeziweka nchi 48 katika kundi la nchi maskini duniani (LDCs), zikiwemo nchi 33 za Afrika, Asia (9), Pacific (5) na Caribbean (1).

Ripoti ya nchi maskini sana duniani ya mwaka 2012 iliyotolewa na Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCTAD) kutoka Geneva, nchini Uswisi, ilisema idadi ya watu waliohamia Ulaya kutoka nchi maskini sana (LDCs) iliongezeka.

Ongezeko hilo ni kutoka watu milioni 19 mwaka 2000 hadi milioni 27 mwaka 2010, sawa na asilimia 3.3 ya wakazi wote wa nchi hizo.

Kwa mujibu wa ripoti ya nchi maskini sana duniani ya mwaka 2012, iliyotolewa na UNCTAD, ilisema nchi maskini sana duniani zinatoa asilimia moja ya wahamiaji duniani kote.

Imesema wahamiaji wanne kati ya watano kutoka LDCs, wanaishi katika nchi zinazoendelea (Kusini) na mmoja kati wa watano ndiye anaishi kwenye nchi zilizoendelea (Kaskazini).

“Kiwango cha fedha zinazotumwa na raia waliohamia ng’ambo kwenda katika nchi zao, kiliongezeka mara nane kati ya mwaka 1990 na 2011, kutoka dola bilioni 3.5 hadi bilioni 27.

“Mwaka 2011, kiasi cha fedha zilizotumwa kwenda nchini Tanzania kutoka Uingereza zilikuwa dola milioni 4.5, kutoka Canada milioni 3.2 na kutoka Kenya milioni 2.5,” ilisema taarifa hiyo.

Fedha zilizotumwa kwenda LDCs, zilikuwa mara mbili ya thamani ya uwekezaji wa moja kwa moja (FDI).

Nchi maskini zilizotajwa ni Angola, Benin, Burkina Faso, Burundi, Central African Republic, Chad, Comoros, Congo (DRC), Djibouti, Equatorial Guinea, Eritrea, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Lesotho, Liberia, Madagascar na Malawi.

Nyingine ni Mali, Mauritania, Msumbiji, Niger, Rwanda, Sao Tome na Principe, Senegal, Sierra Leone, Somalia, Sudan, Togo, Uganda, Tanzania, Zambia, Afghanistan, Bangladesh, Bhutan, Cambodia, Lao, Myanmar, Nepal, Timor-Leste, Yemen, Caribbean, Haiti,
Kiribati, Samoa, Solomon Islands, Tuvalu na Vanuatu

**Mnajipongeza ujinga kwa kutokuwepo kwenye 10 masikini wakati mpo kati ya 48, jiulize kwa nini Kenya hawamo kati ya hizo 48 na nini nini hasa Kenya wametushinda.**
 
Regime zilizopitatulia tulikuwa namba ngapi?

QUOTE=R.B;6192417]10 POOREST COUNTRIES IN THE WORLD BY GDP PER CAPITAL




There are many rich nations in the world which are well-developed and industrialized.








On the other hand, there are poor countries which are highly under-developed and poverty-stricken since centuries. All of these top ten poor countries are from the continent of Africa.

1. DR Congo, Africa
GDP per capita $347

2. Zimbabwe, Africa
GDP per capita $416

3. Liberia, Africa
GDP per capita $431

4. Niger, Africa
GDP per capita $475

5. Burundi, Africa
GDP per capita $730

6. Central African Republic, Africa
GDP per capita $774

7. Eritrea, Africa
GDP per capita $795

8. Sierra Leone, Africa
GDP per capita $845

9. Malawi, Africa
GDP per capita $850

10. Togo, Africa
GDP per capita $890

CONTINUE READING - Poorest Countries by GDP Per Capita | Statistic Brain[/QUOTE]
 
Huwa nawashangaa sana watanzania wanaofurahia kuiona Tanzania iko katika hali mbaya.

CountryGDP Per Capita
1Congo$347.45
2Zimbabwe$349.61
3Burundi$407.73
4Liberia$440.66
5Somalia$631.87
6Niger$687.02
7Central African Republic$788.00
8Eritrea$795.20
9Sierra Leone$820.04
10Malawi$906.65
11Afghanistan$949.00
12Togo$983.25
13Mozambique$989.88
14Madagascar$1,000.77
15Nepal$1,013.43
16Ethiopia$1,057.45
17Guinea$1,061.91
18Haiti$1,108.55
19Mali$1,136.27
20Rwanda$1,137.06
21Guinea-Bissau$1,167.66
22Burkina Faso$1,275.19
23Uganda$1,311.32
24Bangladesh$1,384.53
25Tanzania$1,440.68


Poorest Countries by GDP Per Capita | Statistic Brain

Hapo ndipo serikali ya CCM na waungaji mkono wake wanapokuwa kama kobe hawataki kuuona ukweli hata kama kila kitu ni dhahiri kabisa.

Hakuna uhalali wa hii nchi kuwa katika hali ya umasikini iliyonao kwa miaka yote hiyo tangu uhuru. Vinginevyo mniambie tofauti ya wakoloni wa Kiingereza na CCM ni nini?
 
Most of you are missing the point.

Hizi figures ni GDP per capita ikimaanisha imegawanywa kwa mtu mmoja mmoja.

Kuna watanzania wachache wana pull hiyo data up na ni kweli GDP imeongezeka sema sasa tatizo wapo wachache kati yetu kwenye middle class ndio wamepandisha sana.

Swali je kupanda huku kwa GDP/Capita kunamaanisha kwamba wale masikini are better off now? inaweza isiwe kweli maana hii inaashiria Economic growth not economic development.
 
Unajua currency ya Somalia ina thamani kuliko ya Tanzania na Burundi? Usiwadharau

Bila marekani kuwachukia wasiwe na serikali waipendayo ya kiislam wangekua mbalisana.Viongozi vibaraka wa wamarekani ndo chanzo cha vurugu zote hizo.
 
Halafu kuna wapuuzi hapa Jukwaani hawaoni jitihada zinazofanywa na serikali ya CCM.

Tanzania sio nchi ya kushangilia eti kutokuwemo kwenye orodha ya nchi 10 maskini zaidi duniani (ambako ilikuwepo kwa miaka mingi), bali inapaswa kusikitika kwa kutokuwemo kwenye orodha ya nchi 10 tajiri zaidi Afrika. Tuna resources nyingi za kutufanya tuwe juu lakini zinakuwa mismanaged na serikali dhaifu inayoshikiliwa na mibaka uchumi. Tunahitaji mabadiliko makubwa ya kutufanya tupae na kuwa nchi tajiri zaidi Afrika.
 
Country
GDP Per Capita
1
Congo
$347.45
2
Zimbabwe
$349.61
3
Burundi
$407.73
4
Liberia
$440.66
5
Somalia
$631.87
6
Niger
$687.02
7
Central African Republic
$788.00
8
Eritrea
$795.20
9
Sierra Leone
$820.04
10
Malawi
$906.65
11
Afghanistan
$949.00
12
Togo
$983.25
13
Mozambique
$989.88
14
Madagascar
$1,000.77
15
Nepal
$1,013.43
16
Ethiopia
$1,057.45
17
Guinea
$1,061.91
18
Haiti
$1,108.55
19
Mali
$1,136.27
20
Rwanda
$1,137.06
21
Guinea-Bissau
$1,167.66
22
Burkina Faso
$1,275.19
23
Uganda
$1,311.32
24
Bangladesh
$1,384.53
25
Tanzania
$1,440.68


Poorest Countries by GDP Per Capita | Statistic Brain

Hapo ndipo serikali ya CCM na waungaji mkono wake wanapokuwa kama kobe hawataki kuuona ukweli hata kama kila kitu ni dhahiri kabisa.

Hakuna uhalali wa hii nchi kuwa katika hali ya umasikini iliyonao kwa miaka yote hiyo tangu uhuru. Vinginevyo mniambie tofauti ya wakoloni wa Kiingereza na CCM ni nini?

Kwakweli hakuna tofauti yeyote kati ya Serikali ya ccm na ile ya mkoloni mwingereza kwakua imekopi na kupest MFUMO KRISTO.Ukitaka ujue mfumo huo muulize Mwingereza Carlmax"religion is opium of the people".Uone jinsi Mfumo unavyofisadi serikali kupiti misamaha yakodi,ruzuku za MoU etc.
 
Back
Top Bottom