Ijuganyondo
Member
- Jan 13, 2011
- 62
- 1
Jamani wanajf nimerealize kwanini mwl.nyerere alimkatalia kikwete kuwania urais 1995 pale chimwaga,mwl.aliona mbali, hv ingekuwaje kama mkwere angeshika nchi tangu enzi hizo?
Soma CV ndo utajua.
why alitolewa ukuu wa mkoa ktk chama na kupelekwa mikoa ya kusini ktk ngazi ya wilaya