Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Ukivunja ukapewa maharage badala ya chips kuku itakuingia 100 times.
Duh!! so ni mwiko kuvunja ukimya?
Duh!! so ni mwiko kuvunja ukimya?
kama......???
WOW..and who might that be??
But what for?i will find out soon....
Ukiwa ignored jiulize kwa nini mie nakuwa ignored badala ya kuwa ignore watu?
I am sorry for making people around me feel ignored (I care, trust me)
Sasa si nataka wajue, nisipo waambiayou don't need to apologize..
Sasa si nataka wajue, nisipo waambia
wanaweza dhani I don't care. Lol
How are you lakini? Umepotea JF kiaina...
you should have more birthdays per year. lol
Siku ya Brithday yako ulikua so active online...ha haa haa really?
how many b days?
Siku ya Brithday yako ulikua so active online...
Maybe one every week hivi, tukuone that active. lol
BTT:Inauma kua ignored wewe, asikwambie mtu.
That is what Vanilla is suggesting hapo juu...nimegundua
a lot of time tunahisi we are ignored
but sio kweli
ni hisia zaidi
That is what Vanilla is suggesting hapo juu...
But sometimes pia mtu alie kua anajali sana
ghafla anaweza shusha kiwango cha attention
Unabaki kujiuliza kama wewe ndio umekua demanding
Au kama kweli amepoteza interest na wewe...
I am not talking about love relations peke yake
Sometimes hata a friend, a sister/brother etc.
Hahahahaha, hii inanikumbusha ile thread yakoyes
na mwingine ana sababu zake
hataki kusema
usipomuuliza ndo basi tena
na ukimuuliza mpaka ubembeleze hadi mwisho
halafu anakuja kukwambia eti
'nilikupigia simu hukupokea juzi'
dah kumbe wewe hukuona hata missed call....
Hahahahaha, hii inanikumbusha ile thread yako
about watu wanao susa na kununa bila sababu.
Kama kweli you care basi anza kubadilika sasa.yaani mimi ni very careless with phone
so napata lawama often....