Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
mkuu nadhani lg zote zinakuja na hii application toka kiwandani, sio simu zote zinakuja na hii appl, inabidi kutafuta za kudownload lakini ni za kulipia, labda tusubiri wataalamu watudadafulie zaidi, maana hata mimi nakumbuka sikumoja wakati naipekua pejua simu yangu ndio nikakutana na hii kitu kwenye security. Nikaweka tu bila kujua kama inaumuhimu kihivyo
mkuu kuna tracker ya bure tuelekeze wanadownload kivipi na je za mchina nazo zinadownload na tukijaribu azina madhara zisije zima kabisa zikahisis tunaingiza virus