nilimnukuu mtu, hii mambo hainihusu mimi hata kidogo,, tena niko mbioni kuukwaa Utakatifu baada ya Ivuga kuonekana kushindwa kutii masharti..
kumbe sasa hivi wewe siyo malaika?
nilimnukuu mtu, hii mambo hainihusu mimi hata kidogo,, tena niko mbioni kuukwaa Utakatifu baada ya Ivuga kuonekana kushindwa kutii masharti..
nauweza kaka, wewe huuwezi?
.........afadhali hata haka kameoga kidogo....khaaaa....
.........afadhali hata haka kameoga kidogo....khaaaa....
hahahahahahahaaha....mkuu unataka niwe mtakatifu?...
Siyo kwamba nataka ila siyo mbaya kama ukiwa Mtakatifu kwa mapenzi yako lakini...