Girlie Girlie
Member
- Feb 19, 2011
- 87
- 4
- Thread starter
- #21
Wape watu muda wa kuchangia moja then uendelee!
sikuiona hiyo katika rules! na thread 5 maudhui tofauti, au mna uhaba wa *seva?*
Wape watu muda wa kuchangia moja then uendelee!
hivi nisaidieni, kuna tatizo gani kuanzisha 4? Kumbe hii forum inataga threads automatically!!!! usiniharibie siku.
Kuna mtu kaimis sauti yako...Kama haijapanda mpaka sasa hivi potezeiyaa!
sikuiona hiyo katika rules! na thread 5 maudhui tofauti, au mna uhaba wa *seva?*
haipo kwa rules,nafikiri maana ya Lizzy ni tujadili moja then uweke nyingine.....usiwe mkali,yuko hapa tangu 2009,anajua asemalo Girlie!!!
Kuna mtu kaimis sauti yako...
@Michelle asante kwa maneno yako but some do not use polite languages, I could be new @JF but I have been on *No-Ads Special* Free Forums - FreeForums.org - Create a free forum in minutes! for years. Im here to see local forum, if its like this....duh!
halafu kama ni advice, send a different message; mnaharibu flow nzima.....humo humo watu wachangie.....humo humo washauri nasaha
sorry
i understand,ila usiwe mkali,its not personal ni kukuweka tu sawa...ili uzoee Jamiiforum,kila sehemu pana taratibu zake my dear....unataka tukitaka kukurekebisha tutume PM? sawa tu,ni vizuri kweli hapa tubaki kwenye hoja tu!!!:hand::hand:
Tuendelee na hoja, nimejifunza kuwa humu kila mtu ni moderator!!!!!
Tuendelee na hoja, nimejifunza kuwa humu kila mtu ni moderator!!!!!
Girlie... Habari Dada....
Post Nzuri Sana Lakini Umesema Lets Thanks Them All..., Alafu wewe umetoa Thanks 2 Tu.. Ebu anza kuonyesha mfano kwa kutoa Thanks
By the Way Lizzy She is The one Of the Nicest Girls in JF... utaniambia tu baada ya kuspend a few months.. take my word for it
Karibu Jamvini...
Even the nicest of people are not perceived that way by everyone!Thanx nwy!Girlie... Habari Dada....
Post Nzuri Sana Lakini Umesema Lets Thanks Them All..., Alafu wewe umetoa Thanks 2 Tu.. Ebu anza kuonyesha mfano kwa kutoa Thanks
By the Way Lizzy She is The one Of the Nicest Girls in JF... utaniambia tu baada ya kuspend a few months.. take my word for it
Karibu Jamvini...
@Michelle asante kwa maneno yako but some do not use polite languages, I could be new @JF but I have been on *No-Ads Special* Free Forums - FreeForums.org - Create a free forum in minutes! for years. Im here to see local forum, if its like this....duh!
halafu kama ni advice, send a different message; mnaharibu flow nzima.....humo humo watu wachangie.....humo humo washauri nasaha
sorry
girlie girlie umefanana na lulu msanii wa filamu,ni wewe?
Karibu na huku mama,
Utaelewa tu, mambo ya nyumba hii nayo,
Wala usijali, utafurahia tu, lakini kumbuka kila sehemu,
kuna culture yake yaweza kuwa nzuri au mbaya,
lakini ukishawazoea unawarekebisha wakikuelewa sawa,
wasipokuelewa ni sawa pia, maisha lazima yaendelee!!
Let's THANK them all
those who HATED us..
They made us HUMBLE persons;
Those who LOVED us..
They made our HEARTS grow FONDER;
Those who ENVIED us...
They made our SELF-ESTEEM grow STRONGER;
Those who CARED for us...
They made us feel IMPORTANT;
Those who ENTERED our lives..
They made us WHO we are TODAY;
Those who LEFT us..
They showed us that NOTHING last FOREVER;
Those who STAYED..
They showed us the TRUE meaning of FRIENDSHIP;
THANK YOU..
Like this!karibu mwanakwetu.