RaiaMbishi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 252
- 124
- Thread starter
- #21
huwezi kudiscuss issue kwa dhana au viashiria ambavyo hujafanyia utafiti, no research no right to speak maaan. Do your homework first.
Unaweza kuwa sahihi katika hilo lakini kwa umri wangu, pamoja na mapungufu ambayo naweza kuwa nayo, uzoefu wangu ni utafiti tosha, ukichanganywa na mazungumzo yangu na kina mama na kina dada wenye kufunguka juu ya hili, kila nipatapo nafasi.