Thamani ya damu ya watanzania ndiyo hii

MataFire

Member
Nov 5, 2010
18
0
Nianze kwa kutoa pole kwa waathirika wote
wa mabom ya Gomz. Poleni sana watanzania wenzangu.

Katika maisha ya mwanadam hakuna kitu kisicho faa kufidia kama
maisha/uhai wa mtu. Nini serekeli itatoa kufidia watanzania walipoteza uhai kule Mbagala na Gongolamboto? Je taarifa ya kamatia ya mabom mbagali, ilifanyiwa kazi kiwango gani?

Mabom ni kama viumbe hai. YAISHI, YANAKULA, YANAKUFA, YANAZIKWA, na YANAPUMUA.
Swali ni hili, katika ghala zetu za jeshi, je! haya yote yanazingatiwa???

Ushauri wangu kwa serekeli ni huu, wataalam watumike zaidi kuliko viongozi. Ilikua busara sana kwa raisi wetu kutembelea kule Gongolamboto jana ila ingekua busara zaidi kama tungesikia wametembele magwiji ya Silaha tanzania.
 
Nianze kwa kutoa pole kwa waathirika wote
wa mabom ya Gomz. Poleni sana watanzania wenzangu.

Katika maisha ya mwanadam hakuna kitu kisicho faa kufidia kama
maisha/uhai wa mtu. Nini serekeli itatoa kufidia watanzania walipoteza uhai kule Mbagala na Gongolamboto? Je taarifa ya kamatia ya mabom mbagali, ilifanyiwa kazi kiwango gani?

Mabom ni kama viumbe hai. YAISHI, YANAKULA, YANAKUFA, YANAZIKWA, na YANAPUMUA.
Swali ni hili, katika ghala zetu za jeshi, je! haya yote yanazingatiwa???

Ushauri wangu kwa serekeli ni huu, wataalam watumike zaidi kuliko viongozi. Ilikua busara sana kwa raisi wetu kutembelea kule Gongolamboto jana ila ingekua busara zaidi kama tungesikia wametembele magwiji ya Silaha tanzania.

Usipoteze muda wako ndugu yangu ati kuishauri serikali.......... toka lini serikali ikasikiliza maoni ya wananchi au wataalam kama jambo hilo halina maslahi ya kifisadi kwao?? Kwa kifupi serikali ipo kwa ajili ya kustawisha mafisadi na kujilimbikizia mali at wananchiz expense and i mean at any cost. Unless tunasimama na kuwaonyesha nini maana ya nguvu ya umma.......tutaendelea kuuliwa, kunyanyaswa, kudhulumiwa, kuibiwa, kudhalilishwa na kufanywa wajinga sisi na vizazi vyetu.
 
Nimeipenda hiyo ya mabomu KUISHI;KUPUMUA:KUFA NA KUZIKWA.
Mkuu naomba unifafanulie kidogo.
 
Back
Top Bottom