TGIF: Yote tisa ngoma ni za Wasukuma, Wangoni na Wamakonde! hamtaki!!

Hujasikia kama ubwabwa wa shughulini mtamu?
Basi huu uliukosa....
Yalikuwepo matobolwa ndo maana hukualikwa. Wee mtoto wa kashata na mikate ya kumimina, vitu lainilaini, manumbu na matobolwa huyawezi.
 
Hahaha haya, nitahudhuria ubatizo wa watoto


Basi huu uliukosa....
Yalikuwepo matobolwa ndo maana hukualikwa. Wee mtoto wa kashata na mikate ya kumimina, vitu lainilaini, manumbu na matobolwa huyawezi.
 
Ngoma za wahaya zinaweza zisiwe nzuri sana lakni uzuri wao hawaonei aibu utamaduni wao. ukienda kwenye sherere zao hata kama ni mjini atleast watu wataserebuka kijadi kwa ngoma moja au mbili..Wengine dah lugha na tamadni zao zinakufa na kupotea kwa kasi na ngoma ikiwemo.


akanana kalile kona
 
Mmetoka KANISANINI (kanisani), nje wanauza MANGATUNGU, bagia, maandazi, ufuta, na kadhalika, hiyo ni siku ya sherehe ya komunio ya kwanza, nje kuna vikundi km sita vya ngoma, ya kwanza inaitwa BETA, utawasikia wakiimba beta kuamba lelo beta kuamba!! ya pili LIZOMBE we acha tuu utawasikia wakiimba Binti kimamulo aiyee ubaya wako aiyee kuiba kuku aiyee.......ya tatu ligihu na ya nne ni ligwamba hizi ni ngoma za wazee! hiyo ni mitaa ya MATOGORO songea miaka hiyoo ya '80. hakuna ngoma tamu km za wangoni bana, lizombe full shangwe, Mkuu MM unanikumbusha mbali sana nadhani ntaanzisha kikundi cha ngona ya lizome very soon!
 
Back
Top Bottom