KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Its time sasa wananchi wa ubungo tuandamane kwa niaba ya watanzania wengine, manake mitambo ya Dowans yule dada wa Richmond iko hapa jimboni mwetu tena inagusana ukuta na makao makuu ya TANESCO. What a mockery! Ingekuwa kwa wenzetu ule ukuta wa Dowans sasa ungekuwa na grafitti kila mahali- ONDOA MITAMBO YA KIFO! Yani wakati mwingine huwa nikipita pale nazitafakari nadharia za non violence protest; lakini wavaa tai ukiwambia pawekwe mahema pale nje dowans; kwamba hakuna kulala mpaka waseme milioni 152 analipwa nani kwanini, watakuona umepagawa...
JJ
muandamane kisa mitambo ipo jimboni kwenu ? sasa ulitaka hiyo mitambo iwe jimbo gani ? na hao watu wa hilo jimbo nao ambao mitambo ingekuwa kwao, ulitaka pia watumie akili kama yako ya kuandamana ? are you serious ?
Pili umesema inagusa ukuta na makao makuu ya tanesco, je unaweza kuconfirm kwamba hiyo ni health hazard kwa tanesco ? mbona wao wamekaa kimya ?
Wewe MNYIKA sasa naona unaanza kutoa baby tears, hata mitambo ikiwa jimbo la ubungo ulalamike, kwanza kama nani ? mbunge ANAYEWAKILISHA jimbo mbona yupo kimya ? na usiniletee siasa zako za kila siku kwamba katoka chama tawala ndio maana yupo kimya, tanesco je wametoka chama tawala ?
Haya mambo ya baby/crocodile tears hayana mpango, inaonyesha tu just how lost you are !