TGIF: Aliyeandika habari hii anahitaji kufungwa!

Nadhani haya yanayotokea Tanzania ni laana ya aina fulani. Tulilaaniwa na kwa sababu gani, siwezi kuelewa.

Tunalea ujinga sana. zamani sana niliwahi kupost hapa kuwa nadhani tuna ugonjwa wa "Addiction to Mediocrity" Nchi imegubikwa na na watu mediocre sana katika ngazi mbalimbali za muhimmu. Kuanzia wanasiasa (ambao ndio wanaoongoza), wanahabari (ambao ndio wanatakiwa waelimishe umma) na hata wasomi wetu kama REDET, ambao nao wanatakiwa wauelimisha umma; wote wamekuwa na hilo hilo gonjwa la MEDIOCRITY. Sasa kam hao wanasiasa, wanahabari na wasomi wetu wanaimarisha ugonjwa mkubwa katika jamii yetu yaani ujinga, basi Tanzania tutaendelea kuendesha kwenye one way tukielekea upande opposite wa barabara.


Mwalimu, kitu kinachosumbua ni kuwa hawa ndio wasomi wenyewe; ukiuliza CVs zao utakimbia. Ndio maana huwa nawashangaa sana watu ambao huwa wanasema "serikali haisikilizi wasomi" au waliowekwa ni "vilaza" lakini these are the educated ruling elite. Kama hiki kilichoandikwa kimetoka Ikulu, kwanini hakuna mtu anayeweza kuhoji kwanini Ikulu kwa makusudi kabisa inawaongopea wananchi? Kwanini Mhariri wa gazeti huru anapublish uongo akijua ni uongo (au alipaswa kujua ni uongo kwa sababu ukweli ulikuwa uko nje tayari)?
 
Tatizo letu watanzania ni kulalamika, hakuna anayetoa mawazo ya kurekebisha, kuelekeza, maoni ya kujenga. Ni malalamiko kila siku, mara Serikali haijafanya, haikutakiwa kufanya, mara Rais kakosea. Malalmiko mpaka majumbani mwetu.
Kwa mtaji huhu hatutaweza kuendelea maana hata hao wanaojiita Great Thinkers hawana lolote kazi ni kulalamika kila siku.
Toeni mawazo ya kitaalamu ya kujenga tupate mabadiliko. Alaaaah
 
Tatizo letu watanzania ni kulalamika, hakuna anayetoa mawazo ya kurekebisha, kuelekeza, maoni ya kujenga. Ni malalamiko kila siku, mara Serikali haijafanya, haikutakiwa kufanya, mara Rais kakosea. Malalmiko mpaka majumbani mwetu.
Kwa mtaji huhu hatutaweza kuendelea maana hata hao wanaojiita Great Thinkers hawana lolote kazi ni kulalamika kila siku.
Toeni mawazo ya kitaalamu ya kujenga tupate mabadiliko. Alaaaah

unataka tuwashikie fimbo ndio wasikilize mawazo mbadala? au twende tuwapigie magoti kuwabembeleza wasikilize?
 
Tatizo letu watanzania ni kulalamika, hakuna anayetoa mawazo ya kurekebisha, kuelekeza, maoni ya kujenga. Ni malalamiko kila siku, mara Serikali haijafanya, haikutakiwa kufanya, mara Rais kakosea. Malalmiko mpaka majumbani mwetu.
Kwa mtaji huhu hatutaweza kuendelea maana hata hao wanaojiita Great Thinkers hawana lolote kazi ni kulalamika kila siku.
Toeni mawazo ya kitaalamu ya kujenga tupate mabadiliko. Alaaaah

Asia Take you time humu JF kusoma mambo ambayo watu wamejadili humu kuanzia hata baada ya Kikwete kuwa rais 2005, ndio usema hakuna wanaotowa mawazo ya kurekebisha, ukisha pitia mawazo yaliyomo humu JF jaribu kufuatilia hata vipindi vya Bunge letu maana inaoneka pia huvifuatilii kabisa; utakuta Mbunge wa CCM na Mawaziri wanapinga wazo jema kabisa ati kwa sababu limetolewa na Wapinzani! hujawai kuona hili bungeni pia?

Kama uoni kuwa Serikali yetu haishauriki basi labda hata wewe utakuwa na matatizo ya kiserikali yetu! Mara ngapi wabunge wa CCM wanasimama kuzomea hoja za upinzani ambazo zina logic ya kurekebisha serikali?!

Maazimio ya Bunge juu ya suala la Dowands lililoperekea kujiuzuru kwa Lowasa mangapi serikali iliyafanyia kazi? wewe unazo sababu za msingi zilizoperekea serikali kushindana na Bunge na hata kutafuta mbinu ya kutengeneza bunge powa kwasababu ya maazimio ya Dowans?!
 
I knew it!!!

Mate! nimecheka mpaka basi!!!!!!!! "I KNEW IT" just reminded me the movie "Death at the funeral" hahaha ahahah!

Mkuu nadhani ile makala ya ndani ya raia mwema " Wanatumia nguvu kudai vya dezo, vya haki hawana maelezo!" ingerudiwa kwenye magazeti yoote tena ikipewa kichwa cha habari "IKULU INAPOTOSHA WATANZANIA" kwa sababu such a heading ndiyo itamfanya hata mwandishi wa hiyo press release ku-come out na pia attention itakuwa kubwa kuliko. Si tumewahi kuwaona huiko nyuma?
 
Sijaelewa,kwani chenji yako ya halali huwa unatakiwa uihangaikie tena kui omba urudishiwe?. Tunatuma hata team ya watu kwenda kuomba chenji irudishwe kwa gharama zetu wenyewe!. Mbona mpaka tutakapoipata hiyo chenji tutajikuta nusu ya hizo pesa tumetumia kama gharama za ufuatiliaji?. Kuna yeyote ameliona hilo?
 
hivi ni kwanini hawa jamaa walazimishe sehemu ya kuipeleka pesa? kwanini watu pangie matumizi juu ya pesa yetu halali? hawa jamaa ni wapuuzi sana sisi tunahitaji pesa zetu walizo iba then wanatupangia oooh zitaletwa kwa njia ya huma washenzi kabisha

ni lazima watupe pesa yetu ni yetu eti iiii
 
Back
Top Bottom