TGIF: Aliyeandika habari hii anahitaji kufungwa!

hi ni hatari kwa Taifa kila siku viongozi wanatafuta jinsi ya kuwadanganya wananchi badala ya kuwaletea maendeleo
 



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Misaada ya Kimataifa ya Maendeleo wa Uingereza, Andrew Mitchel wamekutana na wamezungumzia kuhusu fedha ambazo Serikali ya Tanzania inadai ilipwe na kampuni ya kuuza silaha ya nchi ya Uingereza ya British Aerospace (BAE).Katika mazungumzo hayo kwenye Ukumbi wa Palace of Conferences katika kijiji cha Sipopo, nje kidogo ya mji mkuu wa Equatorial Guinea uliopo katika Kisiwa cha Bioko, viongozi hao wawili wamekubaliana kuendelea na jitihada za kuishawishi BAE kuilipa Tanzania fedha hizo ambazo ni haki yake.Tanzania inadai kulipwa fedha zake kiasi cha paundi za Uingereza milioni 29.5 zinazotokana na Tanzania kutozwa kiasi kikubwa zaidi kuliko kile kilichotakiwa kulipwa wakati inanunua rada kutoka BAE.Ununuzi wa rada hiyo ulisababisha matatizo makubwa yakiwemo madai ya rushwa na hatimaye kampuni hiyo ya BAE ilifikishwa mahakamani kwa madai hayo ya kutoa rushwa katika ununuzi wa rada hiyo.Hatimaye mahakama iliamua kuwa BAE haikutoa rushwa isipokuwa kuwa ilifanya makosa katika vitabu vyake vya mahesabu lakini kampuni ikaamuliwa pia kulipa kiasi cha paundi milioni 29.5 kuirudishia Tanzania ambayo ni fedha yake kihalali kwa sababu ilidhulumiwa .Hata hivyo, kampuni hiyo pamoja na kuamuliwa kuilipa Tanzania moja kwa moja, iliamua kutoa fedha hizo kwa taasisi isiyokuwa ya kiserikali ambayo ndiyo ingeleta fedha hizo Tanzania kwa njia ya kutoa huduma.Tanzania imepinga hatua hiyo na kutoa taarifa kali Bungeni kupinga hatua hiyo ya BEA.Serikali inataka kuziingiza fedha hizo katika kuboresha elimu ikiwa ni pamoja na kununua vitabu kwa ajili ya wanafunzi na kujenga madarasa na nyumba za walimu.Viongozi hao wawili pia wamezungumzia hali iliyopo nchini Libya ambapo Rais Kikwete amemwelezea Bwana Mitchel msimamo wa viongozi wa waafrika ambao unapinga kampeni ya kupiga mabomu inayoendeshwa na majeshi la Umoja wa Kujihami wa Ulaya (NATO) dhidi ya Libya.Imetolewa na:Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,Safarini,Malabo, Equatorial Guinea01 Julai, 2011
 



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Misaada ya Kimataifa ya Maendeleo wa Uingereza, Andrew Mitchel wamekutana na wamezungumzia kuhusu fedha ambazo Serikali ya Tanzania inadai ilipwe na kampuni ya kuuza silaha ya nchi ya Uingereza ya British Aerospace (BAE).Katika mazungumzo hayo kwenye Ukumbi wa Palace of Conferences katika kijiji cha Sipopo, nje kidogo ya mji mkuu wa Equatorial Guinea uliopo katika Kisiwa cha Bioko, viongozi hao wawili wamekubaliana kuendelea na jitihada za kuishawishi BAE kuilipa Tanzania fedha hizo ambazo ni haki yake.Tanzania inadai kulipwa fedha zake kiasi cha paundi za Uingereza milioni 29.5 zinazotokana na Tanzania kutozwa kiasi kikubwa zaidi kuliko kile kilichotakiwa kulipwa wakati inanunua rada kutoka BAE.Ununuzi wa rada hiyo ulisababisha matatizo makubwa yakiwemo madai ya rushwa na hatimaye kampuni hiyo ya BAE ilifikishwa mahakamani kwa madai hayo ya kutoa rushwa katika ununuzi wa rada hiyo.Hatimaye mahakama iliamua kuwa BAE haikutoa rushwa isipokuwa kuwa ilifanya makosa katika vitabu vyake vya mahesabu lakini kampuni ikaamuliwa pia kulipa kiasi cha paundi milioni 29.5 kuirudishia Tanzania ambayo ni fedha yake kihalali kwa sababu ilidhulumiwa .Hata hivyo, kampuni hiyo pamoja na kuamuliwa kuilipa Tanzania moja kwa moja, iliamua kutoa fedha hizo kwa taasisi isiyokuwa ya kiserikali ambayo ndiyo ingeleta fedha hizo Tanzania kwa njia ya kutoa huduma.Tanzania imepinga hatua hiyo na kutoa taarifa kali Bungeni kupinga hatua hiyo ya BEA.Serikali inataka kuziingiza fedha hizo katika kuboresha elimu ikiwa ni pamoja na kununua vitabu kwa ajili ya wanafunzi na kujenga madarasa na nyumba za walimu.Viongozi hao wawili pia wamezungumzia hali iliyopo nchini Libya ambapo Rais Kikwete amemwelezea Bwana Mitchel msimamo wa viongozi wa waafrika ambao unapinga kampeni ya kupiga mabomu inayoendeshwa na majeshi la Umoja wa Kujihami wa Ulaya (NATO) dhidi ya Libya.Imetolewa na:Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,Safarini,Malabo, Equatorial Guinea01 Julai, 2011

Kumbe Wakina Kikwete wamewekewa Waziri wao wa kumuomba? Hii kali ndio maana Kikwete hachoki kwenda kuhemea akijua kuwa amewekewa waziri maalamu wa kumuomba.
 
Taarifa imetolewa haraka ili kufifisha jitahada za kupinga serikali kurudishiwa hiyo pesa. Whatever the case naomba tuendelee kusema ili JK ajue wazi kuwa tunajua na siku ya siku tutamuuliza tukiwa na ushahidi wa nyaraka.
Wabunge walikwenda London kufanya nini, kwa idhini ya nani na kumwalkilisha nani.

Tutamuuliza JK baada ya mazungumzo na waziri, sasa atueleze Kagoda ipo wapi na bilioni 70, za BAE ni 40bn
Waziri Membe, tunajua 'moral authority' yako na hii imeingia katika rekodi yako, safari yako inazidi kuwa ngumu. Pesa ya BAE ikirudi ifanyie kazi 'vizuri' maana I don't see your future in political sphere!
 
Kaka usisahau wana mpango wa kuimega mbuga ya Selous karibia hecta Elfu 35 kwa ajili ya kuchimba Uranium then hv majuzi wamekataa kujenga bara bara ya lami inayopita mbugani......bado kufa tu.

Na Maige (yule waziri wa maliasili na utalii) ansema kampuni zitapata dola za marekani mil 200 wakat sisi tukiambulia dola milioni 5 kwa mwaka
 
viongozi hao wawili wamekubaliana kuendelea na jitihada za kuishawishi BAE kuilipa Tanzania fedha hizo ambazo ni haki yake.

nadhani hapa ndio ngoma ilipo. Nashangaa hadi hivi sasa upinzani nchini haujaja na statement ya kueleweka wao wanasimamia wapi au ndio wamelainishwa na maneno ya kizalendo.
 
Sijaona tarehe iliyoandikwa taarifa hii,mjadala ukifika bungeni tutajua mbivu na mbichi
 
nadhani hapa ndio ngoma ilipo. Nashangaa hadi hivi sasa upinzani nchini haujaja na statement ya kueleweka wao wanasimamia wapi au ndio wamelainishwa na maneno ya kizalendo.

Thank you, thank you!
Ile thread ya triangle ilibeba kila kitu na kila tip! No one knows opposition inasimama wapi. No pundits no strategists, this opportunity to show leadership itakwisha hivi hivi. Ndio maana nina criticize structure and infrastructure ya opposition!
Siamini the whole leadership hakuna mtu anayeliona hili suala, tatizo hakuna organization ya kutoa maamuzi promptly and accurately.
Chadema as an opposition hakuna short cut, you must take a position on issues of national interest.
 
Ukisoma hii article ya Ikulu moja kwa moja utajua Serikali ya Republic ya Tanzania sio ya Watanzania ila ni ya wezi na majambazi. Lets continue with our movement, God still here and He working to give Kikwete na mafisadi wenzake zawadi zao.

To be Continue ...
 
Niruhusu kidogo nitoke nje ya mada. Hivi Malaria Sugu kwa nini huwa hawezi kuchangia mada kama hii? Mie nadhani ukosefu wa darasa ndiyo unamsumbua -- hawezi kuchangia masuala ya kupigisha kichwa akili kama hii -- yeye kazi yake kubwa ni kuanzisha mada tu dhidi ya Slaa na Chadema na kuponda Wakataliki. Kingine hana habari, sijamuona akichangia kwa mfano masuala ya mgao wa umeme.
 



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri wa Misaada ya Kimataifa ya Maendeleo wa Uingereza, Andrew Mitchel wamekutana na wamezungumzia kuhusu fedha ambazo Serikali ya Tanzania inadai ilipwe na kampuni ya kuuza silaha ya nchi ya Uingereza ya British Aerospace (BAE).Katika mazungumzo hayo kwenye Ukumbi wa Palace of Conferences katika kijiji cha Sipopo, nje kidogo ya mji mkuu wa Equatorial Guinea uliopo katika Kisiwa cha Bioko, viongozi hao wawili wamekubaliana kuendelea na jitihada za kuishawishi BAE kuilipa Tanzania fedha hizo ambazo ni haki yake.Tanzania inadai kulipwa fedha zake kiasi cha paundi za Uingereza milioni 29.5 zinazotokana na Tanzania kutozwa kiasi kikubwa zaidi kuliko kile kilichotakiwa kulipwa wakati inanunua rada kutoka BAE.Ununuzi wa rada hiyo ulisababisha matatizo makubwa yakiwemo madai ya rushwa na hatimaye kampuni hiyo ya BAE ilifikishwa mahakamani kwa madai hayo ya kutoa rushwa katika ununuzi wa rada hiyo.Hatimaye mahakama iliamua kuwa BAE haikutoa rushwa isipokuwa kuwa ilifanya makosa katika vitabu vyake vya mahesabu lakini kampuni ikaamuliwa pia kulipa kiasi cha paundi milioni 29.5 kuirudishia Tanzania ambayo ni fedha yake kihalali kwa sababu ilidhulumiwa .Hata hivyo, kampuni hiyo pamoja na kuamuliwa kuilipa Tanzania moja kwa moja, iliamua kutoa fedha hizo kwa taasisi isiyokuwa ya kiserikali ambayo ndiyo ingeleta fedha hizo Tanzania kwa njia ya kutoa huduma.Tanzania imepinga hatua hiyo na kutoa taarifa kali Bungeni kupinga hatua hiyo ya BEA.Serikali inataka kuziingiza fedha hizo katika kuboresha elimu ikiwa ni pamoja na kununua vitabu kwa ajili ya wanafunzi na kujenga madarasa na nyumba za walimu.Viongozi hao wawili pia wamezungumzia hali iliyopo nchini Libya ambapo Rais Kikwete amemwelezea Bwana Mitchel msimamo wa viongozi wa waafrika ambao unapinga kampeni ya kupiga mabomu inayoendeshwa na majeshi la Umoja wa Kujihami wa Ulaya (NATO) dhidi ya Libya.Imetolewa na:Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,Safarini,Malabo, Equatorial Guinea01 Julai, 2011


Author wa hii taarifa ni Salva -- fundi wa kupotosha mambo!
 
Ikulu ndo vilaza hivi?
Aliyeandika either amepotosha kwa makusudi,
Au hajui kitu kuhusu hii issue.

Hii issue speaker ataiminya isijadiliwe sasa, i can bet on that.
Hawa jamaa ni wahuni wasiokuwa na hata chembe ya uzalendo.
 
Je tunaweza kuona bajetiya wizara ya elimu . Sijui ni vote ngapi wametenga kiasi gani kwa kujenga nyumba za walimu na kunnuua vitabu.

Ingependeza viongozi wa JF wangetafuta official copies za bajeti ya kila wizara na idara zake .Hasa development project.

Author wa hii taarifa ni Salva -- fundi wa kupotosha mambo!

Watu wengine mna hasira na Salva sizizo na maana. sasa hapo Salva kapotosha nini wakati yeye anaandika mawazo na idea za rais wetu. Do u mean hay siyo mawazo ya rais wetu au sicho alichoongea rais wetu?
 
nadhani hapa ndio ngoma ilipo. Nashangaa hadi hivi sasa upinzani nchini haujaja na statement ya kueleweka wao wanasimamia wapi au ndio wamelainishwa na maneno ya kizalendo.
Unajua temeo lilikuwa CDM sasa baada ya kupata ambacho hawakutegemea wamekuwa si wenyekutegemeka katika mambo ya kitaifa wapo busy na matatizo yao ya kichama very hopeless
 
Nani anajuwa zile walizorudisha wasamalia wema wa EPA zilipotumika? tukaone kwa macho yetu!
 
Kumbe kuna WIZARA YA MISAADA,daaaah,yaani hii wizara ni maalumu kwa marais OMBAOMBA kama huyu mdai chenji

Actually kama alivyosema Mwanakijiji kila neno kwenye habari hii ni uongo mi sioni neno la ukweli hata moja, hakuna neno wizara katika serikali ya Uingereza wao wanaita Departments of the state yaani Idara kuu za serikali zipo pia idara ndogo zote mbili zinakuwa chini ya Secretaries ambao lazima awe mtumishi wa Umma aliyebobea katika taaluma ya hiyo Idara anayoiongoza, hizi Departments of the State ndizo sawa na wizara kwa huku kwetu. Wanaoziongoza uitwa Secretary of the State na siyo waziri kama alivyosema huyu mtoa taarifa wetu ambaye siyo well informed. Nadhani hiyo inaweza kuwa Department for International Development ndio itakuwa imetafsiriwa kijinga hivyo.

Naona sasa inakuwa tabia yetu Watanzania kujitokeza kifuwa mbele kuongea na kufanya jambo lolote hata kama huna taarifa nalo, hapa JF pia tupo wengi kunajiandikia tu! bila hata kujuwa tunacho kiandika na juzi Mods wameni Ban kwa kutumia neno Upuuzi wao wanaona ni tusi yaani neno "Nonsense" ni tusi! yote ni mambo ya mtu kujiamulia na kufanya hasilo lijuwa bila hata kutafuta na kujuwa maana halisi ya anachokifanya yes inaweza kuwa tusi kama hiyo taarifa siyo Upuuzi lakini je ikiwa ni upuuzi? au ukisema taarifa haina kichwa wala miguu au haina kiwiliwili nini maana ya kiwili wili? unakuta hasiye juwa na anayejuwa wote hatuwafahamu tunajiendea tu bora siku imepita tukienda Mskitini na kanisani basi, mara nyingine wengine wanadhani na wanasubiri Mungu aje afanye mabadiliko wanakesha wakiomba na kulia hayo yote ni kutokujuwa na tutaendelea kutokujuwa mpaka milele maana haipo kwa bahati mbaya.
 
Nadhani haya yanayotokea Tanzania ni laana ya aina fulani. Tulilaaniwa na kwa sababu gani, siwezi kuelewa.

Tunalea ujinga sana. zamani sana niliwahi kupost hapa kuwa nadhani tuna ugonjwa wa "Addiction to Mediocrity" Nchi imegubikwa na na watu mediocre sana katika ngazi mbalimbali za muhimmu. Kuanzia wanasiasa (ambao ndio wanaoongoza), wanahabari (ambao ndio wanatakiwa waelimishe umma) na hata wasomi wetu kama REDET, ambao nao wanatakiwa wauelimisha umma; wote wamekuwa na hilo hilo gonjwa la MEDIOCRITY. Sasa kam hao wanasiasa, wanahabari na wasomi wetu wanaimarisha ugonjwa mkubwa katika jamii yetu yaani ujinga, basi Tanzania tutaendelea kuendesha kwenye one way tukielekea upande opposite wa barabara.
 
Back
Top Bottom