CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Ni kauli iliyotolewa na TFF leo na kuwataka simba wawe wapole maana hakuna kanuni ya TFF inayoilazimisha Yanga kuwalipa simba maana simba walipeana pesa na Twite kihuni.
Na simba wamejibu mapigo kwamba sasa wanaingia mtaani kumsaka Twite ili awalipe chao.Yanga nao wajibu kwamba wakimkamata Twite basi wao watatoa report fifa kwamba simba walifanya mazungumzo na mchezaji mwenye mkataba na kumrubuni aikache timu yake.
Chanzo:VYOMBO VYA HABARI LEO JIONI.
Na simba wamejibu mapigo kwamba sasa wanaingia mtaani kumsaka Twite ili awalipe chao.Yanga nao wajibu kwamba wakimkamata Twite basi wao watatoa report fifa kwamba simba walifanya mazungumzo na mchezaji mwenye mkataba na kumrubuni aikache timu yake.
Chanzo:VYOMBO VYA HABARI LEO JIONI.