Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Napenda kuwapongeza TFF kwa kuhakikisha mkoa (nchi) Dar Es Salaam soka linakuwa, nasi huku mikoani tunatumia rasilimali tulizo nazo kuendeleza soka vilevile na Inshaala ipo siku tutafikia kiwango cha Ulaya. Uwanja huu tunautengeneza wenyewe.