Ninasikiliza power breakfast ya Cloud FM na anayojiwa mtalaamu wa TFDA kuhusu matumizi ya Metakelfin na anaeleza ya kuwa batch zilizokuwa na hitilafu ziliondolewa na zinazo ingizwa sasa zina kiwango kinachotakiwa.Nahoji yafuatayo,
-Ilishathibitishwa ya kuwa dawa za jamii ya SP hazina uwezo wa kutibu kwa kiwango kianchotakiwa na ndo maana dawa mseto ikaingizwa.
-Mfumo uliopo wa matumizi ya SP ni katika kuwalinda wajawazito tu.
Hivyo kuruhusu dawa hizi kuuzwa katika maduka ya kawaida kuna wa encourage watu kutumia dawa ambayo imeshaonyesah kwa kiwango kikubwa kushindwa kutibu malaria.
Kwa kuwa uelewa wa watu wengi ni mdogo watakimbilia dawa ya kunywa mara moja kuliko Mseto ambayo unatakiwa ufuate msaa maalum kwa muda wa siku tatu.
NAshauri SP zipatikane katika Clinic za waja wazito tu,otherwise tunahatarisha maisha ya watu kwani wengi wanaoanza na SP ikiwemo metakelfin wanachelewa kupata matibabu sahihi na kuna uwezekano wakafika hospitalini wakiwa wamezidiwa zaidi.
-Ilishathibitishwa ya kuwa dawa za jamii ya SP hazina uwezo wa kutibu kwa kiwango kianchotakiwa na ndo maana dawa mseto ikaingizwa.
-Mfumo uliopo wa matumizi ya SP ni katika kuwalinda wajawazito tu.
Hivyo kuruhusu dawa hizi kuuzwa katika maduka ya kawaida kuna wa encourage watu kutumia dawa ambayo imeshaonyesah kwa kiwango kikubwa kushindwa kutibu malaria.
Kwa kuwa uelewa wa watu wengi ni mdogo watakimbilia dawa ya kunywa mara moja kuliko Mseto ambayo unatakiwa ufuate msaa maalum kwa muda wa siku tatu.
NAshauri SP zipatikane katika Clinic za waja wazito tu,otherwise tunahatarisha maisha ya watu kwani wengi wanaoanza na SP ikiwemo metakelfin wanachelewa kupata matibabu sahihi na kuna uwezekano wakafika hospitalini wakiwa wamezidiwa zaidi.