INAELEKEA ajira katika nafasi za juu ikiwemo zile za washauri na waandishi huko Ofisi za juu hazifanyiwi utafiti wa kutoshq na sasa kuna madai kwamba baadhi ya wafanyakazi wa Richmond na Kigoda hivi leo wameajiriwa Ikulu. Katika hao ni pamoja na wale ambao kwa muda mrefu wamekuwa makuadi wa wakubwa mbalimbali na walionunuliwa na Watanzania wasio na asili ya Kiafrika.
Wamekuwa wakifanya kazi hii sio Tanzania tu bali pia hata nchi za nje ikiwemo Marekani na Uingereza.
Wamekuwa wakifanya kazi hii sio Tanzania tu bali pia hata nchi za nje ikiwemo Marekani na Uingereza.