Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,349
NGANGARI imekuwa urojo mtupu khaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
Makundi ndani ya CCM hayakuanza leo.Kwa sasa CUF ni kundi tu kama ilivyo mitandao mingine ya CCM.Sasa hawa ccm wote (i.e ccm-A na ccm-B) wanabishana nini?
Mwee, yaani mmeacha kazi mnajadili Maalim Seif ?Yule mtu mwengine, achanane nae kabisa ni mkombozi wetu huku Zanzibar.Safari hii hatukupigwa hata makofi na jwtz, wakati miaka yote tunakula kichapo halafu mnakaa mkitucheka....Aaagh wahenga wamesema pilipili usoila, yakuwashia nini!
Jamani eeh- hii nimepata kali sana. Kuna habari zinasema kwamba lipo pendekezo katika kamati kuu za CCM, yaani NEC na CC yake kwamba Maalim Seif awe anahudhuria baadhi ya vikao hivyo kama observer (mtamazaji).
Wazo hili limepingwa na wengi ndani ya vikao hivyo. Na katika CUf kwenyewe kuna mgawanyiko katiko hilo, Profesa akilipinga sana ingawa kina hamad Rashid na Jussa wanaliafiki.
Msianze kuniuliza source, source ni 'mndani' wangu aliye ndani ya both NEC na CC ambaye kanidolezea.
Jamani eeh- hii nimepata kali sana. Kuna habari zinasema kwamba lipo pendekezo katika kamati kuu za CCM, yaani NEC na CC yake kwamba Maalim Seif awe anahudhuria baadhi ya vikao hivyo kama observer (mtamazaji).
Wazo hili limepingwa na wengi ndani ya vikao hivyo. Na katika CUf kwenyewe kuna mgawanyiko katiko hilo, Profesa akilipinga sana ingawa kina hamad Rashid na Jussa wanaliafiki.
Msianze kuniuliza source, source ni 'mndani' wangu aliye ndani ya both NEC na CC ambaye kanidolezea.