Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Jamani eeh- hii nimepata kali sana. Kuna habari zinasema kwamba lipo pendekezo katika kamati kuu za CCM, yaani NEC na CC yake kwamba Maalim Seif awe anahudhuria baadhi ya vikao hivyo kama observer (mtamazaji).
Wazo hili limepingwa na wengi ndani ya vikao hivyo. Na katika CUf kwenyewe kuna mgawanyiko katiko hilo, Profesa akilipinga sana ingawa kina hamad Rashid na Jussa wanaliafiki.
Msianze kuniuliza source, source ni 'mndani' wangu aliye ndani ya both NEC na CC ambaye kanidolezea.
Wazo hili limepingwa na wengi ndani ya vikao hivyo. Na katika CUf kwenyewe kuna mgawanyiko katiko hilo, Profesa akilipinga sana ingawa kina hamad Rashid na Jussa wanaliafiki.
Msianze kuniuliza source, source ni 'mndani' wangu aliye ndani ya both NEC na CC ambaye kanidolezea.