Tetesi: PAW alisombwa na mafuriko ya Dar

Power G

JF-Expert Member
Apr 20, 2011
3,886
1,193
WanaJF kuna habari zisizothibitishwa bado kwamba Paw alisombwa na mafuriko ya Dar mwezi December 2011. Kama kuna yeyote aliyewahi kumuona au kumsikia baada ya hayo mafuriko atufahamishe. Vinginevyo Paw mwenyewe kama hakusombwa basi ajitokeze!
 
Yuko Mabwepande......hapa jamaa wanamalizia hema lake

Mabwepande1.JPG
 
Back
Top Bottom