Unajipenda kweli wewe?
Mi mzima shemegi! Nakumiss sana shemu langu!....Unasalimiwa sana na Kabakabana!shemeji....nakusalimia tuu......
Hajasombwa ila kapata kazi MAMLAKA YA UTABIRI WA HALI YA HEWA
Mi mzima shemegi! Nakumiss sana shemu langu!....Unasalimiwa sana na Kabakabana!
Kwa hiyo kwa vile hamja ziona muda kidogo mnazani kawa babu yenu mnaweza kumuanzishia thread? hahahahaInawezekana akiwepo thread za ban azikosekani kila wiki
Kwa hiyo kwa vile hamja ziona muda kidogo mnazani kawa babu yenu mnaweza kumuanzishia thread? hahahaha
Kwa hiyo kwa vile hamja ziona muda kidogo mnazani kawa babu yenu mnaweza kumuanzishia thread? hahahaha
Ahsante mkuu kutuletea na picha yake. Wengi wetu hatujawahi kumuona zaidi ya kushuhudia makombora yake kwenye JF.