kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Kuna tetesi Nape na Mwigulu wameandaa mkutano Igunga ambao utahutubiwa na vijana hao siku ya Jumapili 09/09/2012.
Cha muhimu wananchi wa huko wategemee nini kipya kutoka kwa hawa jamaa kama sio matusi stori za mauaji ya Moro na Iringa na kingine labda watatoa tamko la Chama kukata rufaa juu ya kupinga kwa kafumu kutenguliwa ubunge wake.
lakini cha kushangaza Mwigulu baada ya Ushindi alitoa kauli chafu kwa wanchi wa Igunga kwa kusema WAMEPIGA MBWA NA MWENYE MBWA sasa sijui ataitengua vipi kauli hii ambayo wananchi wengi bado ipo mioyoni mwao
Cha muhimu wananchi wa huko wategemee nini kipya kutoka kwa hawa jamaa kama sio matusi stori za mauaji ya Moro na Iringa na kingine labda watatoa tamko la Chama kukata rufaa juu ya kupinga kwa kafumu kutenguliwa ubunge wake.
lakini cha kushangaza Mwigulu baada ya Ushindi alitoa kauli chafu kwa wanchi wa Igunga kwa kusema WAMEPIGA MBWA NA MWENYE MBWA sasa sijui ataitengua vipi kauli hii ambayo wananchi wengi bado ipo mioyoni mwao