Tetesi: Mpakanjia Is No More!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
- Kuna tetesi mpya na nzito sana kwamba yule mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar, aliyekuwa mume wa marehemu mbunge Amina Chifupa, amefariki dunia leo mjini Dar.

- Bado tunazifuatilia kwa karibu habari za tetesi, ili kuzithibitisha ukweli wake.

Respect.

Field Marshall Es, ni Wazee wa Sauti ya Umeme!
 
Back
Top Bottom