Tetesi: Mabalozi wakubali DOWANS kulipwa

Hao mabalozi wanataka kumwingiza JK mkenge, akilipa hizo pesa na misaada yote kwisney, hao jamaa wana intelejensia kali sana na wanajua mchezo mzima ulivyofanyika
WEWE KWELI NI kituko NA UNADHIHIRISHA ULIVYOKUWA KISHITO.nyambaaaaaaaffffffff
 
ndio madhara ya kutegemea wajomba! Jamani tutaheshimu mikataba ya kimataifa isiyo na hila! Mbona mkataba wa 1929 kuhusu maji ya mto nile tumeukataa na hatujaathirika chochote wandugu? Umefika wakati wa kuacha kutegemea misaada!

ndiyo maana namkumbuka sana j. K. Asili na mugabe. Hawa watu walikuwa hawaogopi kiumbe awae yote toka magharibi. Kipindi chao afrika ilikuwa inaheshimika kuliko ilivyo hivi sasa. Maana viongozi wetu wa sasa wenyewe ni akina ndiyo au abee.
Kifupi mabalozi hawawezi kutuamulia cha kufanya. Tutafanya kulingana na vile tunaona inafaa.
 
HUYU ALIYEPOST HII ATAKUWA NA MATATIZO Nimesearch euro news hakuna habari kuhusu dowans habari kuu iliyopo ni kuhusu masuala ya katiba mpya tu. Ah mambo mengine tunayeyushana. Hapa kwetu bongo sijui sababu ya watu hawa waandishi wetu kutojua english vizuri, waoga sana kwenda ubalozini na kuwahoji mabalozi. waoga ile mbaya.
 
Mods... JF is a a very famous forum , most of its viewers are Tanzanian citizens living outside the country, publishing this thread which has no any source or authenticity will justify this forum as source of this story..... in this case JF will loose reputation and credibility outside the country

please mods discard this thread ASAP
 
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.

Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.

hapo kwenye red, misaada yao ndiyo msingi wa umasikini wetu miaka 50 baada ya uhuru. ingawa walioko madarakani watakosa safari za nje, mashangingi na semina elekezi, sisi wananchi tutaanza kufikiri na kuendelea. waondoe misaada leo, wasisubiri hadi tukatae kulipa dowans
 
kwa nini kupoteza muda kudiscuss kitu ambacho hakipo? Huyu mwanzisha thread hajaonesha hata source ya hiyo habari, mshaurini ailete baada siku ya april fool sio leo
 
Mabalozi hawafeel kile ambacho sisi raia tunaishi nacho...
Umeme huu unapokatikakatika, majumbani kwao wala hawaoni, maana wana njia nyingi za kufanya, na pia wanapendelewa kimgao...kwao ni maisha ya kawaida yanaendelea.
Hivyo watuachie suala hili...Kwanza nawashagaa sana maana wanajidai kukemea vitu vingine visivyo na ishu kwa kivuli cha haki za binadamu, suala hili kwa vile linahusu ICC(Mahakama yao pendwa) ndio wanaona tutekeleze haraka...Tunasema nooo, tuna vyombo vyetu halali na vya kisheria, viliangalie suala hili na kulicustomize kibongo zaidi, bila kujali mambo ya mabalozi!
 
I dont think tunataka kupangiwa what to do and when we feel like that moves inaumiza mwananchi wa kawaida basi hakuna sababu ya kukubaliana na mikataba ya kimataifa. Wananchi wa tanzania tukaze boot tumeze dawa chungu. TUSIILPE DOWNAS hata shilingi ROSTAM na wenzi wake wachange na kulipa kama ni wazalendo kweli wan uwezo wa kuinusuru nchi hii na tutatoka kifua mbele na kuwaona ni viongozi wa kweli.
 
Nimefurahi mabalozi wamekubali Dowans ilipwe. Kwa vile wanaonekana kujali sana sheria ya kimataifa kuliko maadili ya malipo haya naomba watulipie deni lote hili. Please.

Mzee Mwanakijiji,
Asante. Nionavyo mimi hawa wanataka kumwingiza Mkulu mjini. Mwalimu alisema (paraphrased), "Mtu mwenye akili akakushauri jambo la kijinga, na yeye anjua kuwa wewe una akili, halafu wewe ukakubali, anakudharau"
 
Wewe GeniusBrain kweli?

Hao mabalozi ni kina nani hapa TZ? Ni wapiga kura? Ndio wameiweka serikali madarakani au?

Kama majibu ni hapana. Then hizo ni kelele za chura tu. Hapa hakuna kulipa. Tutamlipaje mtu ambae hata hatumfahamu? Hatulipi kama anataka tumlipe ajitokeze ili atudai.

Ili nitalisimamia mpaka mwisho. Singojei sijui CHADEMA,Sitta au yeyote ashinikize. Ili nitapambana hadi mwisho katika ili. Huu ni wizi. Sasa ni wakati wa vitendo tu. Mtanisoma tu.
 
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.

Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.

Mkulu
Mjenga nchi ni mwananchi , siyo mhisani.Hii syndrome ya kusema , eti wahisani wameridhia ...duh... kazi ipo.
Tunahitaji ku-shift paradigm
 
Wao wanavyo sema tuheshimu sheria za kimataifa tulizo ziridhia. Sasa waweza kuacha hizo bilioni 94 , na ukanyimwa misaada ya trillion 1, kipi bora ? mie naona tulipe tu nakubaliana nao

RA agent. Mtalipwa Bwana na mtu wenu kule Ikulu
 
I dont think tunataka kupangiwa what to do and when we feel like that moves inaumiza mwananchi wa kawaida basi hakuna sababu ya kukubaliana na mikataba ya kimataifa. Wananchi wa tanzania tukaze boot tumeze dawa chungu. TUSIILPE DOWNAS hata shilingi ROSTAM na wenzi wake wachange na kulipa kama ni wazalendo kweli wan uwezo wa kuinusuru nchi hii na tutatoka kifua mbele na kuwaona ni viongozi wa kweli.

hapo kwenye red nasema thubutuuu,
 
chanzo please!!!!! If so na wakate hiyo misaada yao na hapo ndo tutajifunza kujitegemea kama taifa huru..
 
Wao wanavyo sema tuheshimu sheria za kimataifa tulizo ziridhia. Sasa waweza kuacha hizo bilioni 94 , na ukanyimwa misaada ya trillion 1, kipi bora ? mie naona tulipe tu nakubaliana nao

Acha upumbavu wako wa kuwaza kuwa waTanzania hatuwezi kuendelea bila misaada. Ukiwa ombaomba kila unachokiwaza ni kusaidiwa tu. Kwa taarifa yako wakitunyima misaada ndo tutajijengea uwezo wa kujitegemea na kuondokana na umaskini. Mbona miaka 50 ya uhuru watoto wetu wanakaa chini na misaada tunapokea. Akili yako ni tegemezi sana wewe, inaelekea hata shuleni ulikuwa unaangalizia na kudesa kwa watu badala ya kutumia akili yako
 
Back
Top Bottom