Tetesi; JeiKei kajimilikisha ardhi, anafanya biashara na waarabu.

Mwangaza

Senior Member
Feb 26, 2008
198
64
Tetesi zimesikika kuwa, mkuu anakula malalio yetu..

Tetesi zinasema mkuu kajimilisha ardhi kubwa usawa wa viwanja 10 vya mpila wa miguu huko Kagera wilaya ya Ngara, katika eneo linaloitwa Kabanga.

Tetesi zinapasha kuwa, sehemu hiyo iliyo karibu na mpaka wa TZ na nchi za Burundi na Rwanda, mkuu amefungua biashara ya kuuza magari yanayopitia bandari ya Dar na kufikishwa huko na kuwauzia wafanyabiashara wa nchi za Rwanda,Burundi na Zaire.Na bado ujenzi unaendelea sijui anataka kuweka nini huko.

Tetesi zinapasha zaid kuwa mkuu amejificha kwa kutumia ushirikiano na wafanyabiashara waarabu wa huko, hata hilo eneo linafahamika sana kwa jina la "Kwa Patel".

Tetesi zinahabarisha zaidi kuwa, mkuu amekuwa akipata temberea mara kwa mara kimya kimya hata wakati wa kampeni mwaka jana alitembelea hapo zaid ya mara 2. Na kuhakiksha jimbo linachukuliwa na chama chake ishu isije kuvuja. Tetesi zinahabarisha zaid kuwa kuna mama wa karibu sana na mkuu ndio yupo huko kuhakikisha mambo ya mkuu yanaenda vizuri.

Wadau wa UWT tupasheni habari zaidi....
 
sioni ubaya wowote, wacha hao waburundi waje wanunue vitu toka hapa kwetu pengine hata hao watu wa bukoba watauza hata ndizi kwao au hata kahotel walale kuliko kukosa kabisa..pengine na kabarabara katajengwa....hajafanya kosa. viwanja kumi tu vya mpira ni kitukidogo sana, tz kuna ardhi viwanja vingapi vya mpira?
 
Maada haija gusas Kodi ya mlala hoi, si dhambi na kama hajadhulumu. Nadhani itakuwa inahusiana na barabara inashinikizwa kupitia Kaskazini mwa Serengeti.

Ni amu ya mwisho maandalizi ya kuweka Vizazi vyake vijavyo ndiyo ina anza kwa Nguvu zaidi.
Chukua chako Mapema. Kabla muda hauja isha
 
Tetesi zimesikika kuwa, mkuu anakula malalio yetu..

Tetesi zinasema mkuu kajimilisha ardhi kubwa usawa wa viwanja 10 vya mpila wa miguu huko Kagera wilaya ya Ngara, katika eneo linaloitwa Kabanga.

Tetesi zinapasha kuwa, sehemu hiyo iliyo karibu na mpaka wa TZ na nchi za Burundi na Rwanda, mkuu amefungua biashara ya kuuza magari yanayopitia bandari ya Dar na kufikishwa huko na kuwauzia wafanyabiashara wa nchi za Rwanda,Burundi na Zaire.Na bado ujenzi unaendelea sijui anataka kuweka nini huko.

Tetesi zinapasha zaid kuwa mkuu amejificha kwa kutumia ushirikiano na wafanyabiashara waarabu wa huko, hata hilo eneo linafahamika sana kwa jina la "Kwa Patel".

Tetesi zinahabarisha zaidi kuwa, mkuu amekuwa akipata temberea mara kwa mara kimya kimya hata wakati wa kampeni mwaka jana alitembelea hapo zaid ya mara 2. Na kuhakiksha jimbo linachukuliwa na chama chake ishu isije kuvuja. Tetesi zinahabarisha zaid kuwa kuna mama wa karibu sana na mkuu ndio yupo huko kuhakikisha mambo ya mkuu yanaenda vizuri.

Wadau wa UWT tupasheni habari zaidi....


Patel sio mjenzi tu? mie naona kama kuna ukweli basi hiyo biashara ni ya Riz pamoja na rafiki zake akina Davis Mosha huku mwana wa ukaye JK akiwapigia pande kule Bank na jinsi ya kuwaunganishia tenda nje ya inchi,...UWT hawawezi fanya lolote hivi sasa kwani wakati huu ndugu yangu ni kila mtu na kamhogo kake,
 
mkuu umetisha kwa ufukunyuzi kikubwa ni kuendelea kufuatilia

hivi eneo hilo lipo karibu na makazi ya watu? me nadhani litasaidia kupunguza uhalifu maana litakuwa ni eneo la kibiashara. wabongo wengi watapata ajira au siyo?
 
Tetesi zimesikika kuwa, mkuu anakula malalio yetu..

Tetesi zinasema mkuu kajimilisha ardhi kubwa usawa wa viwanja 10 vya mpila wa miguu huko Kagera wilaya ya Ngara, katika eneo linaloitwa Kabanga.

Tetesi zinapasha kuwa, sehemu hiyo iliyo karibu na mpaka wa TZ na nchi za Burundi na Rwanda, mkuu amefungua biashara ya kuuza magari yanayopitia bandari ya Dar na kufikishwa huko na kuwauzia wafanyabiashara wa nchi za Rwanda,Burundi na Zaire.Na bado ujenzi unaendelea sijui anataka kuweka nini huko.

Tetesi zinapasha zaid kuwa mkuu amejificha kwa kutumia ushirikiano na wafanyabiashara waarabu wa huko, hata hilo eneo linafahamika sana kwa jina la "Kwa Patel".

Tetesi zinahabarisha zaidi kuwa, mkuu amekuwa akipata temberea mara kwa mara kimya kimya hata wakati wa kampeni mwaka jana alitembelea hapo zaid ya mara 2. Na kuhakiksha jimbo linachukuliwa na chama chake ishu isije kuvuja. Tetesi zinahabarisha zaid kuwa kuna mama wa karibu sana na mkuu ndio yupo huko kuhakikisha mambo ya mkuu yanaenda vizuri.

:wave:*****:A S confused:
 
Back
Top Bottom