Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Tetesi zimesikika kuwa, mkuu anakula malalio yetu..
Tetesi zinasema mkuu kajimilisha ardhi kubwa usawa wa viwanja 10 vya mpila wa miguu huko Kagera wilaya ya Ngara, katika eneo linaloitwa Kabanga.
Tetesi zinapasha kuwa, sehemu hiyo iliyo karibu na mpaka wa TZ na nchi za Burundi na Rwanda, mkuu amefungua biashara ya kuuza magari yanayopitia bandari ya Dar na kufikishwa huko na kuwauzia wafanyabiashara wa nchi za Rwanda,Burundi na Zaire.Na bado ujenzi unaendelea sijui anataka kuweka nini huko.
Tetesi zinapasha zaid kuwa mkuu amejificha kwa kutumia ushirikiano na wafanyabiashara waarabu wa huko, hata hilo eneo linafahamika sana kwa jina la "Kwa Patel".
Tetesi zinahabarisha zaidi kuwa, mkuu amekuwa akipata temberea mara kwa mara kimya kimya hata wakati wa kampeni mwaka jana alitembelea hapo zaid ya mara 2. Na kuhakiksha jimbo linachukuliwa na chama chake ishu isije kuvuja. Tetesi zinahabarisha zaid kuwa kuna mama wa karibu sana na mkuu ndio yupo huko kuhakikisha mambo ya mkuu yanaenda vizuri.
Wadau wa UWT tupasheni habari zaidi....
Tetesi zinasema mkuu kajimilisha ardhi kubwa usawa wa viwanja 10 vya mpila wa miguu huko Kagera wilaya ya Ngara, katika eneo linaloitwa Kabanga.
Tetesi zinapasha kuwa, sehemu hiyo iliyo karibu na mpaka wa TZ na nchi za Burundi na Rwanda, mkuu amefungua biashara ya kuuza magari yanayopitia bandari ya Dar na kufikishwa huko na kuwauzia wafanyabiashara wa nchi za Rwanda,Burundi na Zaire.Na bado ujenzi unaendelea sijui anataka kuweka nini huko.
Tetesi zinapasha zaid kuwa mkuu amejificha kwa kutumia ushirikiano na wafanyabiashara waarabu wa huko, hata hilo eneo linafahamika sana kwa jina la "Kwa Patel".
Tetesi zinahabarisha zaidi kuwa, mkuu amekuwa akipata temberea mara kwa mara kimya kimya hata wakati wa kampeni mwaka jana alitembelea hapo zaid ya mara 2. Na kuhakiksha jimbo linachukuliwa na chama chake ishu isije kuvuja. Tetesi zinahabarisha zaid kuwa kuna mama wa karibu sana na mkuu ndio yupo huko kuhakikisha mambo ya mkuu yanaenda vizuri.
Wadau wa UWT tupasheni habari zaidi....