Blessingme
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 250
- 52
Habari wana jf! Nimepata habari kwa mdau kuwa hazina pamoja na utumishi wapo kwenye mchakato wa mwisho kutangaza ajira 600 za fani ya ugavi na ununuzi, na 600 tena za uhasibu, ili kupata uhakika 2naomba mwenye info za uhakika atujuze.