nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Mostly single ladies
Wanaume wanaotoka nje ya ndoa au mahusiano yao huchovya kwa akina nani?
Wanaume wanaotoka nje ya ndoa au mahusiano yao huchovya kwa akina nani?
Afu Nyani Ngabu hivi jina lako ni real. Nimekuona kwenye list ya friends kwenye face book account ya rafiki yangu nikashangaa! Wengine humu tunabwabwaja kwa kuwa tunatumia fake names. Aaah, nikiweka jina hapa nakuta talaka nyumbani!
Khaa! Hebu rudi huko fesibuku ukani-add tuwe marafiki. NN ni jina langu la kweli. Nenda basi fesibuku ukaniadd....pliiiiiiiiz
Niki ku add itabidi niandae maelezi kurasa mbili kueleza mimi na wewe tuna uhusiano gani.
Hamna bana.....hata picha nlonayo uko ndo hii hii....very innocent. Mista hatastukia bana....akiuliza mwambie I'm your distant cuzin
Eeeh unaweka picha ya katoto uonekane innocent! Innocence ni matendo.
I still dont believe this is your name. Jina la wap hilo, mbona limekaa kimzaa mzaa
Mh kwa jinsi wabongo tunavyopenda kuchonga hata Mwarabu wa Abu Dhabi ataipata story nzima tuu hata kama ni baada ya miaka 15.
Unataka nikuonyeshe cheti changu cha kuzaliwa? Driver's license? Passport?
Ukitaka kujua Ngabu ni jina la wapi wewe li google tu uone hits utakazopata.
Mbona kila niki google naona Malawi. Wewe mtanzania kweli?
Unatuonea. Ila wanaume kubali kataa, kama si leo kesho. Mna mioyo myepesi na ni wepesi kuingia kwenye mitego ya masister du. Nakubali wapo walio waaminifu ila ni wa chache na wengine ndio hivyo wanakuwa waaminifu kwa muda baadae wanajiunga kundini.
Khaa! Hebu rudi huko fesibuku ukani-add tuwe marafiki. NN ni jina langu la kweli. Nenda basi fesibuku ukaniadd....pliiiiiiiiz
Sasa hapo Nyumba Kubwa unataka kumfanya Nyani Ngabu ajiunge kundini sio eh? Halafu unasingizia single ladies? Nyumba ndogo huwa inaanza hivi hivi. LOL
Poa. Just a minute
Poa. Just a minute
Wewe ni leader wa FNI? Acha urongo! Nimekushtukia. Nadhani nyie ndo wale mna e mail account na face book account kadhaa kwa majina tofauti tofauti. Na hao marafiki ulonao face book wanakujua kwa fake name!
Kama alivyosema Nyumba kubwa moyo wako mwepesi unakufanya uingie kwenye mtego wake. Wasiwasi wangu ni usije ukafumaniwa tuu.