Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 184
Mtasubiri anywe sumu mpaka kiama yu mzima kabisa. Wakati mwenzenu anawekeza kwenye vitega uchumi nyie mnawekeza kwa mabinti. All u can get from mabinti ni ukimwi au watoto, nothing more.
Speaking of mabinti...mimi nilikuwa na mpango wa kiwekeza kwa yule binti yake....
Pundit, anaweza akawekewa...maana nasikia siku hizi watu hawaaminiani kabisa...