Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Yoyote anayetaka kumwaga upupu anaishia Lugalo mnakumbuka mbunge aliyetaka kuwachoma wauza unga? Heri yake Balali alikimbia mapema ingawa walitaka kumwahi huko huko alikokimbilia.
Ukianza kula nyama ya binadamu huwezi kuacha CCM wameonja hiyo nyama sasa hawawezi kuacha tutaona mengi mwaka huu.
ukianza kula nyama ya binadamu unakuwa mbaya kuliko vampires ambao wao wanakunywa damu tu!......