Baada ya maandalizi ya muda mrefu wa marekebisho ya Katiba na Mfumo wa Uendeshwaji wa Jumuiya ya Watanzania waishio Uingereza Tanzania Association UK, kesho 27/3/2010 ni sikuya uhaguzi wa Viongozi watakaopokea Jumuiya hiyo toka Uongozi unaomaliza kipindi chake.
Kuna uvumi kuwa Viongozi wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi CCM UK wanapanga mkakati wa kupenyeza baadhi ya wajumbe wao katika Majimbo teule ili waweze kugombea nafasi za wajumbe 12 wanaunda kamati kuu abayo ndio itakayotoa vingozz wa ngazi ya juu ya jumuiya hiyo, inasemekana:
CCM wamefikia uamuzi huo baada ya kukataliwa kushiriki kikiwa Chombo chenye Malengo ya Kisiasa.
Pia inasemekana kampeni za nguvu zinapigwa na Wadau wanaowania nafasi hizo na ushindani mkuu unaelekea ni toka London na Reding.
Mwenyekiti wa sasa Bw. Abubakar Faraji inasemekana hakutupa Kofia yake ulingoni kwa Pambano hili, haijulikani ni viongozi gani wa zamani watajaribu kurudi.
Tutajua hayo baad ya masaa 36 hivi.
Nautakia Mkutano huo kila la heri.
Kuna uvumi kuwa Viongozi wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi CCM UK wanapanga mkakati wa kupenyeza baadhi ya wajumbe wao katika Majimbo teule ili waweze kugombea nafasi za wajumbe 12 wanaunda kamati kuu abayo ndio itakayotoa vingozz wa ngazi ya juu ya jumuiya hiyo, inasemekana:
CCM wamefikia uamuzi huo baada ya kukataliwa kushiriki kikiwa Chombo chenye Malengo ya Kisiasa.
Pia inasemekana kampeni za nguvu zinapigwa na Wadau wanaowania nafasi hizo na ushindani mkuu unaelekea ni toka London na Reding.
Mwenyekiti wa sasa Bw. Abubakar Faraji inasemekana hakutupa Kofia yake ulingoni kwa Pambano hili, haijulikani ni viongozi gani wa zamani watajaribu kurudi.
Tutajua hayo baad ya masaa 36 hivi.
Nautakia Mkutano huo kila la heri.